Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook imechangia ongezeko la talaka China

Maafisa nchini Uchina wanaulaumu mtandao wa kijamii wa Facebook kwa ongezeko la idadi ya talaka nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ongezeko la talaka lakumba mji wa Uturuki

Mji mmoja wa Uturuki uliokaribu na mpaka wa Syria umeshuhudia ongezeko la talaka katika muda wa mwaka mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apewa Talaka kupitia facebook

Mwanaume mmoja amepewa talaka na mkewe kupitia mtandao wa Facebook.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ongezeko kubwa la vifo na maambukizi jimboni Hubei, China lagharimu ajira za maafisa wa juu

Maafisa wa juu wawili wafutwa kazi baada ya kugundulika ongezeko kubwa la maambukizi, lililotokana na njia mpya ya uchunguzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mbovu imechangia umasikini — CHADEMA

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema ubovu wa katiba iliyopo pamoja na sheria zake ndizo zinazosababisha umasikini kwa Watanzania. Kauli hiyo imetolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi wa Sera...

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

11 years ago

GPL

AUNT ADAI TALAKA!

Stori: mwandishi wetu
NYOTA wa sinema za Bongo asiyetabirika maisha, Aunt Ezekiel amedaiwa kudai talaka kutoka kwa ndugu wa mumewe Sunday Demonte kufuatia madai kwamba alikasirishwa na manenomaneno yao kwenye vyombo vya habari. Ntaa wa sinema za Bongo asiyetabirika maisha, Aunt Ezekiel Kwa mujibu wa chanzo, nyota huyo aliyasema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar baada ya kutua toka  Dubai alikodai alikwenda kwa...

 

11 years ago

GPL

JIDE AOMBA TALAKA

Stori:  Shani Ramadhan
UNAWEZA ukakataa lakini ndivyo ilivyotokea, ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteini’ na Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyofungwa miaka 9 iliyopita inadaiwa kuingia kidudu kufuatia mke huyo kuomba aandikiwe talaka, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuripoti mkasa wote. Jide akiwa na jumewe Gardner. Kwa mujibu wa chanzo...

 

10 years ago

GPL

TALAKA YA AUNT YATUA UKWENI

Waandishi wetu
KHA! Kuna madai kwamba, Aunt Ezekiel alishaandikiwa talaka na ipo nyumbani kwa wazazi wa aliyekuwa mumewe, Sunday Demonte, Temeke Mwisho jijini Dar. Muingizaji wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Kwa mujibu wa chanzo, talaka hiyo iliandikwa na mumewe huyo baada ya kupata taarifa kwamba, mkewe huyo ana ujauzito unaodaiwa kuwa ni wa Mnenguaji wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo. “Hivi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujumbe wa WhatsApp wasababisha talaka

Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsApp.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani