Ongezeko la talaka lakumba mji wa Uturuki
Mji mmoja wa Uturuki uliokaribu na mpaka wa Syria umeshuhudia ongezeko la talaka katika muda wa mwaka mmoja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tetemeko jingine lakumba mji wa Nepal
Kumeripotiwa tetemeko jingine lenye nguvu nchini Nepal siku moja baada ya tetemeko kubwa lililosabaisha vifo vya karibu watu 2000.
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Facebook imechangia ongezeko la talaka China
Maafisa nchini Uchina wanaulaumu mtandao wa kijamii wa Facebook kwa ongezeko la idadi ya talaka nchini humo.
5 years ago
MichuziUMEME MDOGO KWA BAADHI YA MAENEO YA MJI WA ZANZIBAR,CHANZO NI ONGEZEKO LA WATUMIAJI NA UJENZI HOLELA
Na Issa Mzee Maelezo Zanzibar 12/03/2020.Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Ali Mbarouk amesema kuwepo kwa tatizo la umeme mdogo katika baadhi ya maeneo ya mji wa Zanzibar yanatokana na ongezeko la watumiaji pamoja na ujenzi holela. Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake huko Gulioni Mjini Unguja kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazoikabili shirika hilo.Amesema Shirika hilo linachukua jitihada ya kufunga mashine kubwa (transfoma) katika...
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Tetemeko la ardhi lakumba Afghanistan
Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 6.3 limekumba maeneo ya kaskazini mwa Afghanistan, na kuathiri maeneo ya mbali hadi India
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Shambulizi lengine lakumba Mpeketoni
Shambulizi lengine limetokea katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu ,pwani ya Kenya na kusababisha vifo vya watu 10
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
10 years ago
CloudsFM14 Aug
TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA
Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjP7nOZbWyoytmKjy4vAacRO6K-PJzCanmVXMiwcjnusI-45TYkcsXVpP7xjo3Wy*soLsrUShcEhHJ7pzq9zGYd/aunty.jpg)
AUNT ADAI TALAKA!
Stori: mwandishi wetu
NYOTA wa sinema za Bongo asiyetabirika maisha, Aunt Ezekiel amedaiwa kudai talaka kutoka kwa ndugu wa mumewe Sunday Demonte kufuatia madai kwamba alikasirishwa na manenomaneno yao kwenye vyombo vya habari. Ntaa wa sinema za Bongo asiyetabirika maisha, Aunt Ezekiel Kwa mujibu wa chanzo, nyota huyo aliyasema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar baada ya kutua toka Dubai alikodai alikwenda kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFHyLmzK-Cl-BpnMhW48c42JVYXSkNkLeYq4WkwqI0P0wQwpzZhKTbUlUzjGSz*daU-lFOwUaVg6j7Pz8ruBjFo/jide.jpg?width=650)
JIDE AOMBA TALAKA
Stori:Â Shani Ramadhan
UNAWEZA ukakataa lakini ndivyo ilivyotokea, ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteini’ na Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyofungwa miaka 9 iliyopita inadaiwa kuingia kidudu kufuatia mke huyo kuomba aandikiwe talaka, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuripoti mkasa wote. Jide akiwa na jumewe Gardner. Kwa mujibu wa chanzo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania