Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetemeko la ardhi lakumba Afghanistan

Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 6.3 limekumba maeneo ya kaskazini mwa Afghanistan, na kuathiri maeneo ya mbali hadi India

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Tetemeko kubwa la ardhi latikisa Afghanistan

Tetemeko kubwa la ardhi limekumba maeneo ya kaskazini mwa Afghanistan, na kutikisa ardhi maeneo ya Pakistan na India.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko jingine lakumba mji wa Nepal

Kumeripotiwa tetemeko jingine lenye nguvu nchini Nepal siku moja baada ya tetemeko kubwa lililosabaisha vifo vya karibu watu 2000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la ardhi latikisa Japan

Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan muda mchache uliopita

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii 8 'walisababisha' tetemeko la ardhi

Watalii waliopiga picha za uchi wakiwa mlimani wanalaumiwa kwa tetemeko la ardhi lililokumba Malaysia

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal

Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.

 

10 years ago

Vijimambo

TETEMEKO LA ARDHI LATOKEA DODOMA, TANZANIA

2 November 2014

Tanzania: 5.1 Earthquake Hits Dodoma

An earthquake hit 55 kilometres south-southeast of Kondoa District in Dodoma on Friday.

It was a sizeable quake,and its effects were felt in several surrounding areas,though damage was minimal. According to a report posted on US National Earthquake Information Centre (NEIC) on Saturday, the quake registered a magnitude of 5.1 and a depth of just 10 kilometers.

The region has experienced nine seismic events in the last four years of a magnitude...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la ardhi latikisa Afrika Kusini

Tetetemeko la ardhi limetikisa Afrika Kusini, na kumuua mtu mmoja pamoja na kusababisha wachimba migodi kukwama katika machimbo

 

9 years ago

BBCSwahili

260 wamefariki baada ya tetemeko la ardhi Asia

Zaidi ya watu 260 wamefariki, kutokana na tetemeko hilo baya zaidi la ardhi, katika kipindi cha muongo mmoja.

 

10 years ago

GPL

TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TENA NEPAL NA KUUA WATU WANNE

Wananchi wa Kathmandu wakiwa nje ya nyumba zao baada ya tetemeko la ardhi la leo. TETEMEKO kubwa la ardhi katika vipimo vya richa 7.3 limeitikisa tena nchi ya Nepal leo ikiwa ni takribani majuma mawili tangu tetemeko la awali lililoua zaidi ya watu 8000. Wafanyakazi huko New Delhi, India wakiwa nje ya ofisi zao baada ya kutokea tetemeko la leo. Watafiti wanasema kuwa kitovu cha tetemeko hilo kilikuwa katika Mji wa Namche...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani