Tetemeko la ardhi lakumba Afghanistan
Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 6.3 limekumba maeneo ya kaskazini mwa Afghanistan, na kuathiri maeneo ya mbali hadi India
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Tetemeko kubwa la ardhi latikisa Afghanistan
Tetemeko kubwa la ardhi limekumba maeneo ya kaskazini mwa Afghanistan, na kutikisa ardhi maeneo ya Pakistan na India.
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tetemeko jingine lakumba mji wa Nepal
Kumeripotiwa tetemeko jingine lenye nguvu nchini Nepal siku moja baada ya tetemeko kubwa lililosabaisha vifo vya karibu watu 2000.
10 years ago
BBCSwahili30 May
Tetemeko la ardhi latikisa Japan
Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan muda mchache uliopita
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Watalii 8 'walisababisha' tetemeko la ardhi
Watalii waliopiga picha za uchi wakiwa mlimani wanalaumiwa kwa tetemeko la ardhi lililokumba Malaysia
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal
Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.
10 years ago
Vijimambo03 Nov
TETEMEKO LA ARDHI LATOKEA DODOMA, TANZANIA
![](http://dthd.org/wp-content/uploads/2012/11/map-540x400.jpg)
Tanzania: 5.1 Earthquake Hits Dodoma
An earthquake hit 55 kilometres south-southeast of Kondoa District in Dodoma on Friday.
It was a sizeable quake,and its effects were felt in several surrounding areas,though damage was minimal. According to a report posted on US National Earthquake Information Centre (NEIC) on Saturday, the quake registered a magnitude of 5.1 and a depth of just 10 kilometers.
The region has experienced nine seismic events in the last four years of a magnitude...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Tetemeko la ardhi latikisa Afrika Kusini
Tetetemeko la ardhi limetikisa Afrika Kusini, na kumuua mtu mmoja pamoja na kusababisha wachimba migodi kukwama katika machimbo
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
260 wamefariki baada ya tetemeko la ardhi Asia
Zaidi ya watu 260 wamefariki, kutokana na tetemeko hilo baya zaidi la ardhi, katika kipindi cha muongo mmoja.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiL2SEa5P68oV85LSjbm-2tnUQJQPB77fOhZh29LcJJZqaPGpWqEofjKpNaakmt6g1S5lF4yPD2QOy5ReiSMGZY7/wananchi.jpg?width=650)
TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TENA NEPAL NA KUUA WATU WANNE
Wananchi wa Kathmandu wakiwa nje ya nyumba zao baada ya tetemeko la ardhi la leo. TETEMEKO kubwa la ardhi katika vipimo vya richa 7.3 limeitikisa tena nchi ya Nepal leo ikiwa ni takribani majuma mawili tangu tetemeko la awali lililoua zaidi ya watu 8000. Wafanyakazi huko New Delhi, India wakiwa nje ya ofisi zao baada ya kutokea tetemeko la leo. Watafiti wanasema kuwa kitovu cha tetemeko hilo kilikuwa katika Mji wa Namche...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania