Coronavirus: Ongezeko kubwa la vifo na maambukizi jimboni Hubei, China lagharimu ajira za maafisa wa juu
Maafisa wa juu wawili wafutwa kazi baada ya kugundulika ongezeko kubwa la maambukizi, lililotokana na njia mpya ya uchunguzi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Fahamu kwanini idadi ya vifo vya coronavirus iko juu Italy?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t63O7H1qCJc/Xo2Lka3g2AI/AAAAAAALmdg/G2Zala8R4awM378WndgB21bOMdSX-SPhQCLcBGAsYHQ/s72-c/FINAL%2BTAARIFA%2BKWA%2BUMMA%2BLOCKDOWN-1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Marekani yaipiku Italia na China katika kesi za maambukizi ya corona duniani
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Baadhi ya sehemu za mji wa Wuhan zafunguliwa baada ya kufungwa kuzuia maambukizi China
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC: Ongezeko watumiaji wa uzazi wa mpango kupunguza vifo
MKUU wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ongezeko la watumiaji wa huduma ya uzazi wa mpango nchini utachangia kupunguza vifo vya akina mama na watoto vitokanavyo na uzazi.
9 years ago
StarTV27 Nov
Uelewa mdogo wa ubora wa dawa za binadamu wachangia ongezeko la vifo
Uelewa mdogo wa ubora wa dawa za binadamu kwa baadhi ya mafamasia na watu wa sekta ya afya umetajwa kuwa miongoni mwa sababu za ongezeko la vifo vya watu kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya dawa hizo.
Siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la dawa zisizokidhi vigezo ambazo zinahatarisha maisha ya Watanzania walio wengi.
Malalamiko ya wananchi dhidi ya sekta ya afya kwa madai ya uwepo wa dawa nyingi feki ndiyo sababu ya mkutano huu wa wafamasia jijini Mwanza.
Dhamira ya mkutano...
9 years ago
StarTV21 Aug
Baadhi ya wakazi Kigoma waingiwa na hofu ongezeko la maambukizi ya VVU.
Licha ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi kitaifa kuelezwa kudhibitiwa, hofu imetanda kwa baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kigoma baada ya kutolewa kwa takwimu za ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo mkoni humo hivi karibuni.
Kitaifa maambukizi ya Virusi vya ukimwi yanaelezwa kupungua kutoka asilimia 7.5 hadi asilimia 5.1 wakati mkoani Kigoma ongezeko limekuwa kutoka asilimia 1.8 kwenda asilimia 3.5 hatua inayowafanya wadau mbalimbali na serikali kuanza kujipanga kimkakati kupunguza...
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona