Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uelewa mdogo wa ubora wa dawa za binadamu wachangia ongezeko la vifo

Uelewa mdogo wa ubora wa dawa za binadamu kwa baadhi ya mafamasia na watu wa sekta ya afya umetajwa kuwa miongoni mwa sababu za ongezeko la vifo vya watu kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya dawa hizo.

Siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la dawa zisizokidhi vigezo ambazo zinahatarisha maisha ya Watanzania walio wengi.

Malalamiko ya wananchi dhidi ya sekta ya afya kwa madai ya uwepo wa dawa nyingi feki ndiyo sababu ya mkutano huu wa wafamasia jijini Mwanza.

Dhamira ya mkutano...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Uharibifu wa misitu katavi, tabora wachangia Uelewa ndogo wa sheria

 

Utafiti uliofanywa katika vijiji nane vya wilaya nne za mikoa ya Katavi na Tabora kuhusu uelewa wa sheria ndogo za kuhifadhi misitu umebaini uharibifu mkubwa wa misitu unaofanyika katika kipindi cha chaguzi mbalimbali za Chama na Serikali.

Timu ya watafiti kutoka chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine SUA imesema misitu mingi ya asili katika mikoa ya Tabora na Katavi uharibiwa kutokana na wananchi kuwa na uelewa duni wa sheria ndogo wa kulinda misitu ya vijiji.

Doka Gimbage Mbeyale na Dr....

 

10 years ago

Habarileo

‘Uelewa mdogo wa watendaji unarahisisha utakatishaji’

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George MasajuMWANASHERIA Mkuu wa Serikali, George Masaju amesema wahalifu wanapata mwanya wa kutenda makosa ya utakatishaji fedha haramu kutokana na uelewa mdogo wa watendaji.

 

10 years ago

Habarileo

RC: Ongezeko watumiaji wa uzazi wa mpango kupunguza vifo

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ongezeko la watumiaji wa huduma ya uzazi wa mpango nchini utachangia kupunguza vifo vya akina mama na watoto vitokanavyo na uzazi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ongezeko kubwa la vifo na maambukizi jimboni Hubei, China lagharimu ajira za maafisa wa juu

Maafisa wa juu wawili wafutwa kazi baada ya kugundulika ongezeko kubwa la maambukizi, lililotokana na njia mpya ya uchunguzi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) yafuta usajili wa dawa aina Tano za binadamu - Tanzania

Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) - TFDA Bwana H. Sillo
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imefuta usajili wa dawa za binadamu aina Tano na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja kutokana na kubainika kuwa na viambata vinavyosababisha maradhi sugu ikiwemo kiharusi, na wakati mwingine kusababisha vifo.
Dawa zinazotajwa kufutiwa usajiri na kuzuia uingizwaji kuwa ni pamoja na dawa za kutibu maralia ya maji na vidonge aina ya...

 

5 years ago

Michuzi

UMEME MDOGO KWA BAADHI YA MAENEO YA MJI WA ZANZIBAR,CHANZO NI ONGEZEKO LA WATUMIAJI NA UJENZI HOLELA

Na Issa Mzee Maelezo Zanzibar      12/03/2020.Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Ali Mbarouk amesema kuwepo kwa tatizo la umeme mdogo katika baadhi ya maeneo ya mji wa Zanzibar yanatokana na ongezeko la watumiaji pamoja na ujenzi holela. Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake huko Gulioni Mjini Unguja kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazoikabili shirika hilo.Amesema Shirika hilo linachukua jitihada ya kufunga mashine kubwa (transfoma) katika...

 

10 years ago

StarTV

Upatikanaji habari, Uelewa mdogo wa maafisa habari kikwazo.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Tanzania Assah Mwambene amekiri kutokuwepo kwa uelewa kwa baadhi ya maafisa habari wanaoajiriwa katika sekta ya mawasiliano katika wizara na taasisi mbalimbali za Serikali jambo linalochangia kukosekana kwa taarifa muhimu pindi zinapohitajika.

 

Mwambene amesema hayo mkoani Mtwara mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa mwaka uliowakutanisha maafisa habari wa serikali nchi nzima.

 

Katika baadhi ya vyombo vya habari...

 

9 years ago

StarTV

Makamu wa Rais asema Uzembe wa baadhi ya watumishi wa afya wachangia Upotevu Wa Dawa

 

Baadhi ya Watumishi wa Sekta ya Afya yadaiwa kusababisha upotevu wa dawa zinazohitajika kuwafikia wananchi kwa asilimia 70 kutokana na kutokuwa na weledi katika kazi zao.

Kwa sasa ni asilimia 30 pekee za dawa ndio zinazowafikia wananchi na asilimia inayobaki inapotea.

Hayo yamebainika katika ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu baada ya kutembelea Hospitali Teule ya Mkoa wa Geita ambapo changamoto ya dawa ni tatizo hali inayowalazimu wananchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walalamikia ubora wa dawa

BAADHI ya wakulima kutoka mkoani Mbeya  wamelalamikia dawa za kilimo aina ya Karate 50 ec na Selecron 720 ec kuwa hazina ubora. Wakulima hao waliowakilishwa na John Mwaipopo, walisema dawa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani