Upatikanaji habari, Uelewa mdogo wa maafisa habari kikwazo.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Tanzania Assah Mwambene amekiri kutokuwepo kwa uelewa kwa baadhi ya maafisa habari wanaoajiriwa katika sekta ya mawasiliano katika wizara na taasisi mbalimbali za Serikali jambo linalochangia kukosekana kwa taarifa muhimu pindi zinapohitajika.
Mwambene amesema hayo mkoani Mtwara mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa mwaka uliowakutanisha maafisa habari wa serikali nchi nzima.
Katika baadhi ya vyombo vya habari...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jun
Asilimia 84 ya wananchi wanaunga mkono kifungu cha sheria ya upatikanaji wa habari
Haya ni matokeo ya utafiti uliofanywa na Twaweza wenye jina, Machoni mwa Umma: Maoni ya wananchi kuhusu upatikanaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ITMa6fLe540/Vbc-KoYoZUI/AAAAAAAHsKs/Qkmk1OXevSs/s72-c/1.jpg)
Wizara ya Habari na ESAMI yawapiga msasa Maafisa Vijana
Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi wakati wa Ufunguzi wa awamu ya kwanza ya mafunzo ya Ujasiriamali na ubunifu.
Bw. Kajugusi alisema kuwa kwa kutambua umuhimu wa kuwaendeleza vijana nchini Wizara kwa Kushirikiana na Chuo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nUTKnxuQoCQ/VBzK1V9_3lI/AAAAAAADDoo/_f2YNyRWT6Y/s72-c/unnamed-1.png)
MDOGO WAKE DIAMOND HII NDIYO HABARI YA MUJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nUTKnxuQoCQ/VBzK1V9_3lI/AAAAAAADDoo/_f2YNyRWT6Y/s1600/unnamed-1.png)
Kila kitu saa ni Oficial mdogo wake Diamond Esma na Petitman hii ndiyo habari ya mujini wamesha funga ndoa sasa ni kupika na kupakuwa kwa nafasi hile kiroho safi.
10 years ago
VijimamboMISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA
Na Mwandishi wetuMaafisa habari mbalimbali kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa kutoa taarifa kwa wananchi.Kongamano hilo linafuatia matokeo ya utafiti...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Maafisa Habari na Mawasiliano waaswa kutoa taarifa zinazohusu taasisi zao kwa wakati
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakati wa Semina ya Mafunzo iliyoandaliwa na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel na Kulia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Bw. Innocent Mungy.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu...