Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam, KCCA ni kisasi

AZAM leo itakuwa uwanjani kumenyana na KCCA ya Uganda katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA

>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga vita ya kisasi

‘Leo ndiyo leo, asiye na mwana aelekee jiwe’, mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC watakuwa na kibarua kizito mbele ya Yanga ya Marcio Maximo katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Tutalipa kisasi kwa Azam-Mkwasa

KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Azam FC ikiwa watafanya maandalizi mazuri.

 

9 years ago

Mwananchi

UHONDO WA LIGI KUU: Simba na kisasi, Yanga, Azam kasi

Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa viwanja saba kuwaka moto,  huku bingwa mtetezi, Yanga ikishuka uwanjani kuikabili Prisons, wakati Azam  ikiwa ugenini Kambarage,  Shinyanga kuumana na Stand United  huku Simba  ikitaka kuendeleza ubabe Tanga na kulipa kisasi kwa Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Mkwakani, Tanga.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutoka Zenji Mtibwa Sugar washindwa kulipa kisasi dhidi ya Azam FC (+Pichaz)

Michuano ya Kombe la Mapinduzi imeendelea tena usiku wa January 3 baada ya kuchezwa mchezo wa awali kati ya Dar Es Salaam Young African ya Tanzania bara dhidi ya Mafunzo FC ya visiwani Zanzibar, baada ya mchezo huo kupigwa na Yanga kuibuka na ushindi wa 3-0. Usiku wa January 3 ulichezwa mchezo wa pili wa […]

The post Kutoka Zenji Mtibwa Sugar washindwa kulipa kisasi dhidi ya Azam FC (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kilichoiponza Simba kwa KCCA

>Presha, pupa za kocha Zradvok Logarusic pamoja na kujiamini kupita kiasi kwa wachezaji na kukosa mipango katika safu kiungo na ushambuliaji vilichangia kuiua Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, KCCA hapatoshi leo

Simba leo itakuwa na kibarua kigumu mbele ya KCCA ya Uganda katika mchezo wa fainali wa Kombe la Mapinduzi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

9 years ago

TheCitizen

Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi

Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.

 

11 years ago

Mwananchi

KCCA wateka Kombe Mapinduzi

Bao la mshambuliaji Herman Waaswa lilitosha kuipa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi timu ya KCCA ya Uganda baada ya kuichapa Simba 1-0 katika mechi ya fainali iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani