Ukata wa fedha waikumba TCDF
Mfuko wa Maendeleo ya Kahawa Tanzania (TCDF) unakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa fedha ili kuuwezesha kutekeleza majukumu yake 14.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Ukata waikumba tenisi
TIMU ya Taifa ya Tenisi Walemavu imewaomba wadau mbalimbali kuwasaidia kiasi cha Dola za Marekani 1500 kwa ajili ya kushiriki michuano ya wazi ya Kenya (Kenya Open) inayotarajia kufanyika mwezi huu nchini humo.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kocha wa timu hiyo Riziki Salum alisema wanataka kushiriki michuano hiyo ili waweze kutetea ubingwa wao walioupata mwaka jana.
Salum alisema mashindano hayo yatakuwa ya wiki moja na wanatakiwa kujigharamia kwa kila kitu kwa muda wote...
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Uhaba wa damu waikumba Mount Meru
Na Mwandishi Wetu, Arusha
HOSPITALI ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji damu hospitalini hapo.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mganga Mkuu wa Hospital ya Mkoa wa Arusha, Dk. Frida Mokiti, alipokuwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maafa ya Mkoa, ambapo alisema hospitali hiyo inahitaji uniti 1560 za damu salama, waka akiba ya damu salama iliyopo ni uniti 40 .
Kutokana na upungufu...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Nyota wa Simba walia ukata
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Ukata tatizo Taifa Queens
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tunda Man: Ukata ni tatizo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
CloudsFM24 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d0MTn6eAg9vaoNxw2vPXsBfaG3GR5WtDqb7df2ZdpLx5o3fWIhGbGn2v1Bt0h9w64eAsJXYh28fV1057iP3qTGA/dude.jpg?width=650)
UKATA WAKWAMISHA KAZI ZA DUDE
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Ukata waitesa riadha Mara