Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukata waitesa riadha Mara

Timu ya riadha ya mkoa wa Mara huenda ikajitoa kushiriki kwenye mashindano ya taifa ya riadha yatakayofanyika Jumamosi na Jumapili jijini Dar es Salaam kutokana na kukosa Sh4 milioni za kufanikisha ushiriki wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukata waitesa Mgambo JKT

KOCHA Mkuu wa timu ya Mgambo JKT, Bakari Shime, amesema ukata wa fedha kwa timu yao umekuwa kikwazo kwa benchi la ufundi kutimiza program za kusuka vizuri kikosi ikiwemo kupata...

 

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa...

 

11 years ago

Mwananchi

umaskini waitesa mafia

Mafia ni moja ya wilaya zilizoko mkoani wa Pwani. Shughuli nyingi za kiuchumi katika wilaya hiyo zinategemea uvuvi, kilimo cha nazi pamoja na utalii. Hata hivyo shughuli hizo hazijaweza kuondoa hali duni ya maisha ya watu wake.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Usultani waitesa CHADEMA



Mwigamba aibuka tena, ampongeza MsajiliKatibu, viongozi wa kata tisa waachia ngazi
Na waandishi wetu
TUHUMA za ubabe na usultani wa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), bado umeendelea kukitesa na kukipasua vipande chama hicho. 
Hatua hiyo imetokana na baadhi ya viongozi, akiwemo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, kupigwa ‘stop’ kuwania tena nafasi hiyo baada ya kubainika Katiba ya CHADEMA imechakachuliwa ili kuondoa kipengele cha ukomo wa viongozi.
Tayari Ofisi...

 

9 years ago

Mtanzania

Majeruhi waitesa Yanga

755252_heroaNA OSCAR ASSENGA

 

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo itakuwa ugenini katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kukabiliana na wenyeji, Mgambo Shooting huku ikiwa na wachezaji majeruhi wanaowategemea.

 

Wachezaji ambao huenda wakakosekana katika mechi hiyo ni Donald Ngoma na Haruna Niyonzima.

 

Akizungumza jana mjini hapa, Meneja wa timu hiyo, Hafidhi Salehe, alisema kuwa Ngoma atashindwa kucheza mechi hiyo kutokana na kusumbuliwa na majeruhi aliyopata hivi karibuni wakati wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtandao wa kadi waitesa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kagera, inachunguza mtandao unaohusishwa na ununuaji kadi za wapigakura katika Mji wa Bukoba, baada ya mtuhumiwa mmoja kukamatwa nazo 134.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhalifu wa kimtandao waitesa Polisi

 Polisi nchini wamekiri kuzidiwa ujanja na wahalifu baada ya kubadili mbinu katika kufanya uhalifu huo pamoja na kuongezeka kwa makosa makubwa na madogo yanayofanywa kwa njia ya mtandao.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa, Membe waitesa CCM

Vigogo sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ambao walipewa onyo kali na kuwekwa chini ya uangalizi kwa miezi 12 wamezidi kukitesa chama hicho, na katika kuwadhibiti, kimetoa maagizo kwa Kamati ya Usalama na Maadili kufuatilia nyendo zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani