MCHAKATO KURA ZA MAONI CCM ZANZIBAR: Vuai Nahodha, Prof. Mnyaa, Dkt. Mwinyi, Saada Mkuya, Dkt. Mwinyihaji Makame, Haji Omari Kheri, waibuka kidedea
![](http://2.bp.blogspot.com/--Uhzz0vlYDg/Vb4IvaK4KYI/AAAAAAAHtS8/55x7-qxq5Mw/s72-c/8.%2BSHAMSI%2BVUAI%2BNAHODHA.jpg)
MCHAKATO wa kura za maoni kwa ajili ya kuwapata wagombea wa CCM Zanzibar watakaowania nafasi za Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawawakilishi (BLW) na Udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, uliofanyhika jana (Agosti 01, 2015) mikoani mote.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Afisi ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe. Vuai Ali Vuai, imesema kuwa matokeo ya kinyang’anyiro hicho, yameoonyesha baadhi ya vigogo waliokuwa wakitegemewa kuibuka na ushindi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s72-c/ccm.jpeg)
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s400/ccm.jpeg)
10 years ago
AllAfrica.Com27 Jul
Saada Mkuya, Hussein Mwinyi Fight for Nomination in Isles
AllAfrica.com
Zanzibar — The Minister for Finance, Ms Saada Salum Mkuya and the Minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, are among several Chama Cha Mapinduzi (CCM) candidates fighting tirelessly to be nominated as flag bearers on the ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4SOYj5F_c1Q/VTEkFvBgx8I/AAAAAAAHRss/ytnSrREtRcc/s72-c/IMG_1654.jpg)
Rais wa Zanzibar aongoza waombolezaji katika mazishi ya Dkt. Omar Makame Shauri
![](http://3.bp.blogspot.com/-4SOYj5F_c1Q/VTEkFvBgx8I/AAAAAAAHRss/ytnSrREtRcc/s1600/IMG_1654.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ApZZBt6QWiU/VTEkFRsqCXI/AAAAAAAHRsc/YCaYLxKbxtM/s1600/IMG_1687.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PsbsBI70oaE/Xuyaa-g_rrI/AAAAAAALulI/M4U2XZRsPMoBxPNR5N2n0kPVujqngGOgACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B11.57.40%2BAM.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA, MWANAMAMA MWATUM SULTAN WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA URAIS CCM ZANZIBAR
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WAZIRI wa Maji wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaa, Profesa Makame Mbarawa asubuhi ya leo 19 Juni, amechukua fomu za kutaka kuteuliwa nafasi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makame Mbarawa anakuwa Kada wa 10 leo kuchua fomu baada ya jana 18 Juni Makada 9 kuchukua fomu.
Baada ya tukio hilo la kuchukua fomu, Makame hakuwa tayari kuongea na Wanahabari.
Aidha, kwa mara ya kwanza Kada wa CCM, Mwanamama, Mwatum Mussa Sultan ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8n-IR4ZrU1w/VMpyvg4kKNI/AAAAAAACy-0/JSbOjnX9Fmk/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AZURU KABURI LA HAYATI DKT.OMARI ALI JUMA KISIWANI PEMBA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-8n-IR4ZrU1w/VMpyvg4kKNI/AAAAAAACy-0/JSbOjnX9Fmk/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/qgFpUKLuwVs/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YitgcuW3sUk/VLoUy8ndR0I/AAAAAAAG97w/EUqGzNoEQjI/s72-c/IMG_1950.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MUASISI WA CCM MZEE MAKAME MZEE SULEWIMAN,UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YitgcuW3sUk/VLoUy8ndR0I/AAAAAAAG97w/EUqGzNoEQjI/s1600/IMG_1950.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e8xVNnv6KZI/ViyD3bE-IEI/AAAAAAAICps/efGdHngAfhk/s72-c/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
Dkt Bilal apiga kura Kiembesamaki, Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-e8xVNnv6KZI/ViyD3bE-IEI/AAAAAAAICps/efGdHngAfhk/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6G3ngMAJDdA/ViyD50t-ddI/AAAAAAAICp0/6p0R5tRG_5s/s640/unnamed%2B%252880%2529.jpg)