Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korti: Wafuasi ruksa kumuaga Mawazo

Mahakama Kuu kanda ya Mwanza leo mchana imetengua amri ya polisi inayokataza waombolezaji kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano

Mawazo* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga

*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji

 

NA BENJAMIN MASESE, MWANZA

HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge wawasili kumuaga Kamanda Mawazo

Wakati wapenzi, wafuasi, wanachama, viongozi na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa na wengine wengi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi kwa ujumla, wakijiandaa kutoa heshima za mwisho kwa Kamanda Alphonce Mawazo aliyeuwawa kikatili mwishoni mwa juma lililopita akiwa anatekeleza majukumu yake ya kisiasa kama Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, tayari viongozi waandamizi wa chama na

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru maiti kufukuliwa

MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto akimbilia Korti Kuu

WAKATI Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikitarajia kukutana leo jijini Dar es Salaam, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amekimbilia Mahakama Kuu kuomba mkutano huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Korti yazuia ubomoaji nyumba Vijibwen

MAHAKAMA Kuu ya Ardhi Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi wa awali wa kuzuia ubomoaji wa nyumba za wakazi eneo la Vijibweni, Kigamboni. Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Ruhangisa aomba korti isimtie hatiani

Kesi dhidi ya madiwani wanane wa Manispaa ya Bukoba imeendelea, huku Diwani wa Kata ya Kitendaguro ambaye pia ni Meya wa zamani, Samwel Ruhangisa akiomba mahakama isimtie hatiani kwa sababu hakupewa taarifa za vikao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yatupilia mbali kesi ya 'fungate'

Mahakama nchini Afrika Kusini imetupilia mbali kesi dhidi ya Shrien Dewani , mfanyabiashara mwingereza anayetuhumiwa kuwakodi mamluki waliomuua mkewe Anni Dewani wakati wa fungate yao mjini Cape Town.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yabatilisha uamuzi dhidi ya Mubarak

Mahakama nchini misri imebatilisha uamuzi wake kuhusiana na tuhuma za uporaji wa mali ya umma zilizokuwa zinamkabili aliyekuwa Rais wa wa nchi hio, Hosni Mubarak, na wanawe wawili.

 

10 years ago

GPL

JAJI WA KORTI YA KIKATIBA ATOROKA BURUNDI

Machafuko nchini Burundi. Jaji ambaye ni Makamu wa rais wa mahakama ya katiba nchini Burundi anaripotiwa kuondoka nchini humo kabla ya kutolewa kwa uamuzi iwapo ni halali kwa rais wan chi hiyo kugombea muhula wa tatu. Jaji Sylvere Nimpagaritse aliliambia shirika la habari la Ufaransa kuwa, mahakama ilikuwa imekabiliwa na shinikizo vikiwemo vitisho vya kuuawa ili kuweza kuidhinisha hatua ya rais Pierre Nkurunzia kuweza kusallia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani