Ruhangisa aomba korti isimtie hatiani
Kesi dhidi ya madiwani wanane wa Manispaa ya Bukoba imeendelea, huku Diwani wa Kata ya Kitendaguro ambaye pia ni Meya wa zamani, Samwel Ruhangisa akiomba mahakama isimtie hatiani kwa sababu hakupewa taarifa za vikao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanariadha wa Kenya hatiani
Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Wamiliki wa Ghala hatiani China
Wamiliki wawili wa ghala zilizosababisha mlipuko wiki iliyopita walipata kibali cha kuhifadhi bidhaa hizo kwa kujuana -xinhua
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
4 hatiani kwa kumbaka mpigapicha India
Mahakama moja katika mji wa Mumbai nchini india imewapata na hatia watu wanne kwa kosa la kumbaka mpiga picha
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
3 hatiani kwa kumbaka mtawa India
Mahakama nchini India imewapata na hatia watu 3 waliombaka mtawa wa kikatoliki wakati wa ghasia za kupinga dini ya kikristo mwaka 2008
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
Wanaume 4 walioshitakiwa kwa jaribio la kumuua aliyekuwa jasusi wa Rwanda Generali Faustin Kayumba Nyamwasa wapatikana na hatia
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s72-c/macha.jpg)
Mahakama ya Kisutu yamtia hatiani Macha
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa uamuzi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha (pichani) kuwa ana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s1600/macha.jpg)
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto
Mwanajeshi mwingereza ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka na kumdhalilisha mtoto mwenye umri wa miaka 6 nchini Austria.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Video:Aliyeruka kwa puto ajipata hatiani
Raia mmoja wa Canada aliyeruka kwa puto alijipata hatiani aliposhtakiwa kwa kuwa mtundu
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mwanawe Rais Zuma hatiani Afrika Kusini
Jopo moja nchini Afrika Kusini limegundua kuwa mwanawe Jacob Zuma hakua makini hadi kusababisha ajali ya barabarani ambapo mwanamke mmoja alifariki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania