Wanariadha wa Kenya hatiani
Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mwingerea hatiani kwa kuwalawiti watoto Kenya
Mwalimu wa shule ya umma nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwalawiti watoto wanaorandaranda mitaani nchini Kenya.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wanariadha waandamana Kenya
Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.
Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Wanariadha wawili wa Kenya Matatani
Wanariadha 2 wa Kenya wamepatikana na hatia ya kutumia madawa yaliyoharamishwa ya kusisimua misuli wakati wa mashindano ya dunia
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Wanariadha walemavu Kenya wakwama
Timu ya Kenya ya wanariadha walemavu imeshindwa kusafiri hadi Doha kushiriki mbio za Ubingwa wa Riadha Duniani baada ya serikali kuondoa ufadhili wake dakika za mwisho.
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Wanariadha wa Kenya warejea nyumbani
Waniadha wa Kenya wamerejea nyumbani kutoka Beijing ambako wamelakiwa kwa tahadhimu kuu na serikali na Wakenya wengine
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Wanariadha watumia sana madawa Kenya
Ripoti kuhusu utumizi wa madawa haramu ya kusisimua misuli michezoni, Kenya, imebaini kuwa wanariadha wengi wa wanatumia madawa hayo
10 years ago
MichuziMAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania