Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanariadha wa Kenya hatiani

Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwingerea hatiani kwa kuwalawiti watoto Kenya

Mwalimu wa shule ya umma nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwalawiti watoto wanaorandaranda mitaani nchini Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha waandamana Kenya

Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.

Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wawili wa Kenya Matatani

Wanariadha 2 wa Kenya wamepatikana na hatia ya kutumia madawa yaliyoharamishwa ya kusisimua misuli wakati wa mashindano ya dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha walemavu Kenya wakwama

Timu ya Kenya ya wanariadha walemavu imeshindwa kusafiri hadi Doha kushiriki mbio za Ubingwa wa Riadha Duniani baada ya serikali kuondoa ufadhili wake dakika za mwisho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya warejea nyumbani

Waniadha wa Kenya wamerejea nyumbani kutoka Beijing ambako wamelakiwa kwa tahadhimu kuu na serikali na Wakenya wengine

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha watumia sana madawa Kenya

Ripoti kuhusu utumizi wa madawa haramu ya kusisimua misuli michezoni, Kenya, imebaini kuwa wanariadha wengi wa wanatumia madawa hayo

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA

Mkurugenzi wa klabu ya riadha ya Holili (HYAC) Domician Genand akizungumza juu ya maandalizi ya mbio za kimataifa za Kilimanjaro Maratahoni kwa wanariadha wake ambao baadhi yao amewapeleka nchini Kenya kwa ajili ya mazoezi.Baadhi ya wanariadha walioko katika kambi ya klabu ya riadha ya Holili wakicheza Draft ambapo miongoni mwao yumo mkimbiaji wa Kimataifa ,Osward Levelian ambaye anajiandaa na Mbio za Marathoni kilometa 42 zitakazofanyika nchini Nchina hivi karibuni.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani