Wanariadha watumia sana madawa Kenya
Ripoti kuhusu utumizi wa madawa haramu ya kusisimua misuli michezoni, Kenya, imebaini kuwa wanariadha wengi wa wanatumia madawa hayo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
IOC yaonya wanariadha wanaotumia madawa
Rais wa kamati ya Olimpiki duniani,Thomas Bach ameonya kuwa, IOC haitamhurumia mwanariadha yeyote aliyeshinda nishani ya dunia kupitia njia isiyo halali.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanariadha wa Kenya hatiani
Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wanariadha waandamana Kenya
Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Wanariadha wawili wa Kenya Matatani
Wanariadha 2 wa Kenya wamepatikana na hatia ya kutumia madawa yaliyoharamishwa ya kusisimua misuli wakati wa mashindano ya dunia
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.
Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Wanariadha wa Kenya warejea nyumbani
Waniadha wa Kenya wamerejea nyumbani kutoka Beijing ambako wamelakiwa kwa tahadhimu kuu na serikali na Wakenya wengine
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Wanariadha walemavu Kenya wakwama
Timu ya Kenya ya wanariadha walemavu imeshindwa kusafiri hadi Doha kushiriki mbio za Ubingwa wa Riadha Duniani baada ya serikali kuondoa ufadhili wake dakika za mwisho.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Makahaba watumia Vibaya Hijab Kenya
Makahaba katika baadhi ya sehemu za mji mkuu wa Kenya , Nairobi, wametupilia Mbali vazi la 'Mini skirt na kuanza kutumia Hijab kama njia ya kuwavutia wateja wao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania