Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IOC yaonya wanariadha wanaotumia madawa

Rais wa kamati ya Olimpiki duniani,Thomas Bach ameonya kuwa, IOC haitamhurumia mwanariadha yeyote aliyeshinda nishani ya dunia kupitia njia isiyo halali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wanaotumia dawa mashakani

Wanariadha watakaopatikana wametumia dawa za kusisimua misuli watapigwa marufuku ya miaka minne

 

9 years ago

Mwananchi

Basata yaonya wanaotumia vibaya mitandao

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa siku saba kwa wasanii, wamiliki wa wavuti, na wale wenye akaunti kwenye mitandao ya kijamii kuondoa nyimbo zote au maudhui yenye mwelekeo unaoenda kinyuma na maadili, matusi, kashfa, kejeli na udhalilishaji wa watu wa kada mbalimbali wakiwemo viongozi wa kisiasa na kitaifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha watumia sana madawa Kenya

Ripoti kuhusu utumizi wa madawa haramu ya kusisimua misuli michezoni, Kenya, imebaini kuwa wanariadha wengi wa wanatumia madawa hayo

 

11 years ago

Michuzi

KATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO

Kiongozi wa Kikundi cha Kataa Unene Family (KUF) ambaye pia ni mwandishi na mtangazaji wa Televison ya Taifa (TBC1), Angella Msangi amekemea tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wanaotumia picha zao ili waweze kuuza biashara zao za madawa ya kupunguza uzito. Akizungumza  kwa masikitiko makubwa, Kiongozi huyo alisema kuwa kuna wafanyabiasha ambao si waaminifu wamekuwa wakichukua picha zao katika mitandao ya jamii na sehemu nyingine na kutangazia biashara zao kuwa hao wametumia dawa zao na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini yatambuliwa na IOC

Sudan Kusini imetambuliwa rasmi na kamati ya kimataifa ya Olimpiki, na hivyo kuruhusu kushiriki katika Olimpiki mwakani, huko Rio de Janeiro.

 

9 years ago

BBC

Diack resigns from IOC position

Ex-IAAF chief Lamine Diack resigns from his position as an honorary member of the International Olympic Committee.

 

9 years ago

BBCSwahili

IOC kufadhili michezo kwa wakimbizi

Shirikisho la michezo ya olimpiki IOC limetenga hazina ya dola milioni mbili kufadhili miradi mbali mbali na michezo kwa wakimbizi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:IOC yazuia wachezaji wa Afrika

Kamati ya Olimpiki duniani IOC imewazuia wachezaji kutoka mataifa yaliyoathirika na Ebola kushirki mashindano ya vijana China

 

5 years ago

Al Jazeera English

Dissent grows as IOC battles to keep Tokyo Olympics on track

Dissent grows as IOC battles to keep Tokyo Olympics on track  Al Jazeera EnglishCoronavirus: Tokyo 2020 Olympic organisers respond to frustrated athletes  BBC NewsFacing 'impossible' situation, athletes criticize Olympic organizers  CNN InternationalWhat a boring world - The Jakarta Post  Jakarta PostCoronavirus: IOC member Hayley Wickenheiser calls continuing with Tokyo Games 'irresponsible'  NewshubView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani