Mwingerea hatiani kwa kuwalawiti watoto Kenya
Mwalimu wa shule ya umma nchini Uingereza amepatikana na hatia ya kuwalawiti watoto wanaorandaranda mitaani nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanariadha wa Kenya hatiani
Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
3 hatiani kwa kumbaka mtawa India
Mahakama nchini India imewapata na hatia watu 3 waliombaka mtawa wa kikatoliki wakati wa ghasia za kupinga dini ya kikristo mwaka 2008
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
4 hatiani kwa kumbaka mpigapicha India
Mahakama moja katika mji wa Mumbai nchini india imewapata na hatia watu wanne kwa kosa la kumbaka mpiga picha
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto
Mwanajeshi mwingereza ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka na kumdhalilisha mtoto mwenye umri wa miaka 6 nchini Austria.
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
Wanaume 4 walioshitakiwa kwa jaribio la kumuua aliyekuwa jasusi wa Rwanda Generali Faustin Kayumba Nyamwasa wapatikana na hatia
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Jela miaka 50 kwa kuwaharibu watoto Kenya
Mahakama nchini Kenya imemhukumu kifungo cha miaka 50 jela raia mmarekani kwa kutengeza na kusambaza picha chafu za video za watoto.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Video:Aliyeruka kwa puto ajipata hatiani
Raia mmoja wa Canada aliyeruka kwa puto alijipata hatiani aliposhtakiwa kwa kuwa mtundu
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Oscar hatiani kwa kuua bila kukusudia
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa kutokusudia
10 years ago
GPLOSCAR PISTORIUS HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya. Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake. Akitoa uamuzi wake, Jaji Thokozile Masipaa alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiwa katika hali ya mshtuko akidhani kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania