OSCAR PISTORIUS HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA
![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa4bpnGLnei-n7l0NWovRs*Qo1as2sEaOQqIGTh1AjscKDYw7LXOAMgpMMdpdXBW91XoN9RQUMN7EdXC*Qa2mVC0/oscar2.jpg?width=650)
Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya. Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake. Akitoa uamuzi wake, Jaji Thokozile Masipaa alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiwa katika hali ya mshtuko akidhani kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Oscar hatiani kwa kuua bila kukusudia
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s72-c/imrs.jpg)
News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s1600/imrs.jpg)
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Aliyeua mke bila kukusudia aachwa huru kwa masharti
MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imemwachia huru kwa masharti, Evod Johannes (34) maarufu Luvanda, baada ya kukiri kumuua mke wake bila kukusudia.
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Miaka 5 jela kwa Oscar Pistorius
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC-GBBMsfUT7lv*SgO0Q8oj56pSMf7YY*KcWB*BO94mOdUpir9n9l0sbRMSlr*7wVjRuQzjOdyd0dfivvQ9djGS/oscarpistoriusdock.jpg)
OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Tu3EirCPc/UwJG0vYnNZI/AAAAAAAFNok/-DgiP9kMun0/s72-c/download.jpg)
mwenendo wa kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya lulu michael mahakama kuu jijini dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Tu3EirCPc/UwJG0vYnNZI/AAAAAAAFNok/-DgiP9kMun0/s1600/download.jpg)
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/154F6/production/_85068278_83487936.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-07_VvBwvhNk/UvTla-H8mkI/AAAAAAAFLmg/FhphMw_rlxU/s72-c/images+(1).jpg)
news alert: msanii wa filamu elizabeth kimemeta a.k.a lulu kuanza kujibu mashtaka ya kumuua bila kukusudia steven kanumba Februari 17
![](http://4.bp.blogspot.com/-07_VvBwvhNk/UvTla-H8mkI/AAAAAAAFLmg/FhphMw_rlxU/s1600/images+(1).jpg)