Korti yatupilia mbali kesi ya 'fungate'
Mahakama nchini Afrika Kusini imetupilia mbali kesi dhidi ya Shrien Dewani , mfanyabiashara mwingereza anayetuhumiwa kuwakodi mamluki waliomuua mkewe Anni Dewani wakati wa fungate yao mjini Cape Town.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania