Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAJI WA KORTI YA KIKATIBA ATOROKA BURUNDI

Machafuko nchini Burundi. Jaji ambaye ni Makamu wa rais wa mahakama ya katiba nchini Burundi anaripotiwa kuondoka nchini humo kabla ya kutolewa kwa uamuzi iwapo ni halali kwa rais wan chi hiyo kugombea muhula wa tatu. Jaji Sylvere Nimpagaritse aliliambia shirika la habari la Ufaransa kuwa, mahakama ilikuwa imekabiliwa na shinikizo vikiwemo vitisho vya kuuawa ili kuweza kuidhinisha hatua ya rais Pierre Nkurunzia kuweza kusallia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais Burundi atoroka

Makamu wa rais wa Burundi ametoroka baada ya kutangaza kupinga rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Ni upumbavu kwenda korti' Jaji Kenya

Jaji mkuu wa Kenya amezua mjadala baada ya kuwataka wakenya watafute suluhu kwa wachawi badala ya kuelekea Kortini

 

10 years ago

GPL

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA BURUNDI ATOROKA

Makamu wa Pili wa Rais wa Burundi anayedaiwa kutoroka nchini humo, Burundi Gervais Rufikiri. Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza. Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi anadaiwa kutoroka nchini humo baada ya kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu. Makamu wa pili wa Rais wa Burundi Gervais Rufikiri amekimbia… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Afisa wa tume ya uchaguzi atoroka

Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Ndironkeye aliabiri ndege Ijumaa na kuondoka Burundi

 

10 years ago

StarTV

Afisa wa tume ya uchaguzi Burundi atoroka.


Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Caritas Ndironkeye aliabiri ndege ijumaa

Nia ya rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu imepata pigo baada ya ripoti kutoka nchini humo kudai kuwa mwenyekiti msaidizi wa tume ya uchaguzi ametoroka.

Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Caritas Ndironkeye aliabiri ndege ijumaa na haijulikani kama alijiuzulu au la.

Tume hiyo ya uchaguzi ina maafisa wakuu watano na...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI MSAIDIZI WA TUME YA UCHAGUZI YA BURUNDI ATOROKA

Mwenyekiti Msaidizi wa Tume ya Uchaguzi ya Burundi anayedaiwa kutoroka, Spes Caritas Ndironkeye. Nia ya rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania urais wan chini humo kwa muhula wa tatu imezidi kuigharimu nchi hiyo baada ya ripoti kutoka nchini humo zikidai kuwa Mwenyekiti Msaidizi wa Tume ya Uchaguzi ya Burundi ametoroka na hajajulikana alipo. Ofisa mmoja wa Tume hiyo ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa, Spes Caritas...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi Erolink atoroka nchini

MKURUGENZI wa Kampuni ya uwakala wa ajira ya Erolink Tanzania Limited ametoroka nchini baada ya serikali kubaini kuwa  ameikosesha kodi ya zaidi ya sh bilioni tatu kwa miaka mitatu. Tanzania...

 

10 years ago

GPL

BI HARUSI AFUNGA NDOA, ATOROKA

SHANI RAMADHANI AIBU ya mwaka! Mwanadada aliyefahamika kwa jina la Tatu Ally  (26), mkazi wa Kongowe, Mbagala, Dar amejikuta akiifedhehesha familia yake kufuatia kutoroka kwa mumewe siku moja tu baada ta kufunga ndoa, Amani lina picha kamili. Mwanadada Tatu Ally anayedaiwa kutoroka baada ya kufunga ndoa. Kwa mujibu wa chanzo, ndoa hiyo ilifungwa Aprili 4, mwaka huu Mbagala jijini Dar kisha bi harusi huyo kwenda kwa mumewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani