Makamu wa rais Burundi atoroka
Makamu wa rais wa Burundi ametoroka baada ya kutangaza kupinga rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6ndRFLQKnm5CCOMHXr7PM2kYpshOkCRQuaMZ0P-hA02DT6K0H76tT592iS618QEsAsgLUcapoSLZk4Lr08tgbzIV/169gervaisrufyikiri16juillet2012abruxelles.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA BURUNDI ATOROKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
10 years ago
StarTV03 Jun
Afisa wa tume ya uchaguzi Burundi atoroka.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/24/150524032622_burundi_protest_624x351_epa.jpg)
Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Caritas Ndironkeye aliabiri ndege ijumaa
Nia ya rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu imepata pigo baada ya ripoti kutoka nchini humo kudai kuwa mwenyekiti msaidizi wa tume ya uchaguzi ametoroka.
Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Caritas Ndironkeye aliabiri ndege ijumaa na haijulikani kama alijiuzulu au la.
Tume hiyo ya uchaguzi ina maafisa wakuu watano na...
10 years ago
BBCSwahili30 May
Burundi:Afisa wa tume ya uchaguzi atoroka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7PhNvfEzRpMidy0-1vAT9Fm5M1uZ4ypcS-VSfB*oZGIBL0v4qkEBo2MmJ74WcOADIu3h2xcrgtyvdRsYw7wRpA2/150504143105_burundi_640x360_ap.jpg)
JAJI WA KORTI YA KIKATIBA ATOROKA BURUNDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntGJDuYvgnc8p1RKT4sOv7qIHuti2gOaxRd-SIwoB*omfwYKoPHwG5rZALxUkyDqP9EWxgVEfndKjuU26FImmU2*/SpesCaritasNdironkeye.png?width=650)
MWENYEKITI MSAIDIZI WA TUME YA UCHAGUZI YA BURUNDI ATOROKA