Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamu wa rais Burundi atoroka

Makamu wa rais wa Burundi ametoroka baada ya kutangaza kupinga rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA BURUNDI ATOROKA

Makamu wa Pili wa Rais wa Burundi anayedaiwa kutoroka nchini humo, Burundi Gervais Rufikiri. Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza. Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi anadaiwa kutoroka nchini humo baada ya kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu. Makamu wa pili wa Rais wa Burundi Gervais Rufikiri amekimbia… ...

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye  leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan...

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais  Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza  Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo nyumbani kwa marehemu Rais  Pierre Nkurunziza wa Burundi wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza  Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa ajili ya kuitembelea na kuifariji familia akiwemo mjane na watoto wa marehemu ambapo amemuomba Mwenyezi Mungu kuwapa uvumilivu na kuwa na subira katika kipindi hiki cha maombolezo.Rais mstaafu, Jakaya Kikwete akitia...

 

10 years ago

StarTV

Afisa wa tume ya uchaguzi Burundi atoroka.


Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Caritas Ndironkeye aliabiri ndege ijumaa

Nia ya rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu imepata pigo baada ya ripoti kutoka nchini humo kudai kuwa mwenyekiti msaidizi wa tume ya uchaguzi ametoroka.

Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Caritas Ndironkeye aliabiri ndege ijumaa na haijulikani kama alijiuzulu au la.

Tume hiyo ya uchaguzi ina maafisa wakuu watano na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Afisa wa tume ya uchaguzi atoroka

Afisa mmoja tume hiyo ya uchaguzi ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa Spes Ndironkeye aliabiri ndege Ijumaa na kuondoka Burundi

 

10 years ago

GPL

JAJI WA KORTI YA KIKATIBA ATOROKA BURUNDI

Machafuko nchini Burundi. Jaji ambaye ni Makamu wa rais wa mahakama ya katiba nchini Burundi anaripotiwa kuondoka nchini humo kabla ya kutolewa kwa uamuzi iwapo ni halali kwa rais wan chi hiyo kugombea muhula wa tatu. Jaji Sylvere Nimpagaritse aliliambia shirika la habari la Ufaransa kuwa, mahakama ilikuwa imekabiliwa na shinikizo vikiwemo vitisho vya kuuawa ili kuweza kuidhinisha hatua ya rais Pierre Nkurunzia kuweza kusallia...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI MSAIDIZI WA TUME YA UCHAGUZI YA BURUNDI ATOROKA

Mwenyekiti Msaidizi wa Tume ya Uchaguzi ya Burundi anayedaiwa kutoroka, Spes Caritas Ndironkeye. Nia ya rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania urais wan chini humo kwa muhula wa tatu imezidi kuigharimu nchi hiyo baada ya ripoti kutoka nchini humo zikidai kuwa Mwenyekiti Msaidizi wa Tume ya Uchaguzi ya Burundi ametoroka na hajajulikana alipo. Ofisa mmoja wa Tume hiyo ameiambia redio moja ya Ufaransa kuwa, Spes Caritas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani