Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korti yazuia ubomoaji nyumba Vijibwen

MAHAKAMA Kuu ya Ardhi Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi wa awali wa kuzuia ubomoaji wa nyumba za wakazi eneo la Vijibweni, Kigamboni. Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Korti yazuia bomoabomoa Dar es Salaam

Wakati NEMC ikianza tena ubomoaji wa nyumba zilizoko kwenye maeneo ya mabondeni, Mahakama Kuu imeifunga mikono Serikali kwa muda kuendelea na operesheni hiyo kwa wakazi 674 waliofungua kesi kupinga bomoabomoa.

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UBOMOAJI WA NYUMBA MANISPAA YA KINONDONI

Mkutano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la ubomoaji wa nyumba Manispaa ya Kinondoni (kuanzia kushoto) Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Baraka Mkuya, Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Bw. Methew Nhonge.

 

9 years ago

Habarileo

‘Ubomoaji ni endelevu’

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewatahadharisha wananchi kuepuka kujenga katika maeneo ya wazi na kuvamia viwanja, kwani kazi ya bomoabomoa ni endelevu. Kauli hiyo ilitolewa jana Dar es Salaam na Ofisa Habari wa Wizara hiyo, Mboza Lwandiko alipofanya mahojiano na gazeti hili.

 

10 years ago

GPL

UBOMOAJI WA GHOROFA ‘BOVU’ DAR WAKWAMA

Ghorofa la Indira Gandhi jijini Dar es Salaam ambalo linadaiwa kujengwa chini ya kiwango na ambalo lilikuwa libomolewe leo. GHOROFA ambalo lilikuwa libomolewe leo jijini Dar es Salaam kutokana na kudaiwa kuwa limejengwa chini ya kiwango bado limeendelea kuwepo, kuonyesha kwamba zoezi hilo limekwama. Ghorofa hilo lililopo Mtaa wa Indira  Ghandi lilikuwa libomolewe leo kufuatia kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said ...

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO

    Mafundi wakivunja vibanda vya kukatia tiketi.     Nguzo za umeme wa nguvu kubwa ‘zikipita’ juu ya wabomoaji.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru maiti kufukuliwa

MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto akimbilia Korti Kuu

WAKATI Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikitarajia kukutana leo jijini Dar es Salaam, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amekimbilia Mahakama Kuu kuomba mkutano huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yakwaza Google, Yahoo na Microsoft

Mahakama kuu nchini India imeamrisha kampuni kubwa za intenet, Google, Yahoo na Microsoft kubana matangazo ya biashara ya kuwapima wanawake wajawazito ili kubaini jinsia ya mtoto kabla ya kuzaliwa kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yamruhusu Nkurunziza kuwania urais

Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani