Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ubomoaji ni endelevu’

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewatahadharisha wananchi kuepuka kujenga katika maeneo ya wazi na kuvamia viwanja, kwani kazi ya bomoabomoa ni endelevu. Kauli hiyo ilitolewa jana Dar es Salaam na Ofisa Habari wa Wizara hiyo, Mboza Lwandiko alipofanya mahojiano na gazeti hili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Korti yazuia ubomoaji nyumba Vijibwen

MAHAKAMA Kuu ya Ardhi Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi wa awali wa kuzuia ubomoaji wa nyumba za wakazi eneo la Vijibweni, Kigamboni. Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UBOMOAJI WA NYUMBA MANISPAA YA KINONDONI

Mkutano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la ubomoaji wa nyumba Manispaa ya Kinondoni (kuanzia kushoto) Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Baraka Mkuya, Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Bw. Methew Nhonge.

 

10 years ago

GPL

UBOMOAJI WA GHOROFA ‘BOVU’ DAR WAKWAMA

Ghorofa la Indira Gandhi jijini Dar es Salaam ambalo linadaiwa kujengwa chini ya kiwango na ambalo lilikuwa libomolewe leo. GHOROFA ambalo lilikuwa libomolewe leo jijini Dar es Salaam kutokana na kudaiwa kuwa limejengwa chini ya kiwango bado limeendelea kuwepo, kuonyesha kwamba zoezi hilo limekwama. Ghorofa hilo lililopo Mtaa wa Indira  Ghandi lilikuwa libomolewe leo kufuatia kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said ...

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO

    Mafundi wakivunja vibanda vya kukatia tiketi.     Nguzo za umeme wa nguvu kubwa ‘zikipita’ juu ya wabomoaji.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani