VIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND
Baadhi ya viongozi wa dini kutoka katika Mikoa ya Lindi na Mtwara wakiwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand. Viongozi hao walifanya ziara nchini humo kwa ajili ya kujifunza na kupata uzoefu wa uendelezaji wa sekta ya gesi.
Viongozi wa dini wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand.
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Abdallah Hamis Ulega akizungumza na waandishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4vD_nUhc8WI/U1qP4mb39vI/AAAAAAAFdCM/tEd9c8kGBhg/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand
Jumla ya Viongozi 19 wa Dini kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara wanatarajia kwenda nchini Thailand kuanzia tarehe 26 Aprili mwaka huu kwa ajili ya ziara ya mafunzo katika masuala ya gesi asilia na mafuta.
Ziara hiyo inatokana na juhudi za serikali katika kuhakisha elimu kuhusu masuala ya gesi asilia na mafuta inatolewa kwa wananchi wa kada mbalimbali ili waweze kufahamu mchakato mzima wa upatikanaji wa gesi asilia na mafuta, faida zake katika nyanja za ...
11 years ago
MichuziWashiriki wa kliniki ya Airtel Rising Stars kutoka nchini Sierra Leone wawasili nchini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Viongozi wa dini nchini wahubiri amani
9 years ago
MichuziViongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mwili wa marehemu Dkt William Shija wawasili nchini leo kutoka London, Uingereza
![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dRNSdR2WYk4/VDmOitBm3yI/AAAAAAAGpRU/bY1KFcnqKfk/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qpIvdc9WOu0/VDmOjOkMm5I/AAAAAAAGpRc/Zt0OECK7EFg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lx___u66pNE/VDmOZq1zTxI/AAAAAAAGpPk/uHKuFLqMml4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9BTMFS1qhHc/VDmOaGaj0yI/AAAAAAAGpPs/5ffRdeiGbNk/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XQNHuvzYVUY/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
JK awataka viongozi wa dini kusaidiana katika kukomesha mauaji ya Albino nchini
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa salamu zake za pongezi muda mfupi baada ya kumalizika kwa ibada ya kumweka wakfu askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu katika Kanisa Kuu Parokia ya Mama Mwenye Huruma Ngokolo Mjini Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hajaletewa majina ya watu 16 waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya maalbino nchini kwa sababu safari ya kisheria ya majina hayo kufikishwa kwake ni...