Kamanda wa Hezbollah, auawa Damascus
Kundi la Hezbollah wanasema kuwa kamanda wao Samir Qantar aliuwawa na roketi lililopiga jumba alimokuwa akiishi katika wilaya ya Jaramana Damascus
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kamanda CHADEMA auawa
KATIBU wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) Kata ya Runazi, Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Oliva Evodius, ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana. Kifo...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-luT6EVNGZyA/VkdDdWV6IZI/AAAAAAAAXGk/epglqPUXwzg/s72-c/images.png)
KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita ameuawa kwa kupigwa mapanga na watu wasiojulikana na kusababisha kufariki duniani.Â
TUTAWALETEA TAARIFA ZAIDI KADIRI TUTAKAVYOPATA.
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Kamanda wa DRC auawa vitani Kivu
Kamanda wa majeshi ya serikali yanayopigana dhidi ya kundi la wapiganaji wa kiisilamu wa Uganda, mashariki mwa nchi ameuawa.
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan
Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Tfrb5vGqUKhinFDYYX1mMEG9v1-hc4unlW9XjZOjQhiEDs7Ct1pBG7EgDbkSLE4GthQkmXhqYJLETSFxlnLckZ/MokhtarBelmokhtar.jpg?width=650)
KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkfzQZURzKSu9bNEmgM8aDXkw05KQ5NuzrRKYv3b95jC3em-5AqYnGP9RN6ze2zC1NwYJTbk2*3p6yRaJyLqYl-/Meja.jpg?width=650)
KAMANDA MKUU WA BOKO HARAMU AUAWA, NGOME YAO YASAMBALATISHWA
Meja Jenerali Chris Olukolade. Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, vikosi vya nchi hiyo vimemuua kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram. Meja Jenerali Chris Olukolade amesema kuwa, Abu Mojahid kamanda wa ngazi za juu wa kundi la Boko Haram ameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Nigeria na wapiganaji wa kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Nigeria ameongeza kuwa,...
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '
Marekani imekuwa ikimsaka mwanamgambo huyo wa kijihadi, lakini haijatoa tamko lolote kuhusiana na kifo chake.
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Isarel inatupeleleza: Hezbollah
Kundi la wapiganaji wa Kilebanoni la Hezbollah limethibitisha kuwa mmoja wa viongozi wa juu wa Israel anawapeleleza.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Hezbollah lashambulia jeshi la Israel
Kundi la wapiganaji wa Washia wa Lebanon walio chini ya vugu vugu la Hezbollah, linasema kuwa limetekeleza shambulio dhidi ya msafara wa wanajeshi wa Israeli katika mpaka wa mataifa hayo mawili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania