Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamanda wa Hezbollah, auawa Damascus

Kundi la Hezbollah wanasema kuwa kamanda wao Samir Qantar aliuwawa na roketi lililopiga jumba alimokuwa akiishi katika wilaya ya Jaramana Damascus

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda CHADEMA auawa

KATIBU wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) Kata ya Runazi, Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Oliva Evodius, ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana. Kifo...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA

Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita ameuawa kwa kupigwa mapanga na watu wasiojulikana na kusababisha kufariki duniani.  TUTAWALETEA TAARIFA ZAIDI KADIRI TUTAKAVYOPATA.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa DRC auawa vitani Kivu

Kamanda wa majeshi ya serikali yanayopigana dhidi ya kundi la wapiganaji wa kiisilamu wa Uganda, mashariki mwa nchi ameuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan

Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi

 

10 years ago

GPL

KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA

Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...

 

10 years ago

GPL

KAMANDA MKUU WA BOKO HARAMU AUAWA, NGOME YAO YASAMBALATISHWA

Meja Jenerali Chris Olukolade. Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, vikosi vya nchi hiyo vimemuua kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram. Meja Jenerali Chris Olukolade amesema kuwa, Abu Mojahid kamanda wa ngazi za juu wa kundi la Boko Haram ameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Nigeria na wapiganaji wa kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Nigeria ameongeza kuwa,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '

Marekani imekuwa ikimsaka mwanamgambo huyo wa kijihadi, lakini haijatoa tamko lolote kuhusiana na kifo chake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Isarel inatupeleleza: Hezbollah

Kundi la wapiganaji wa Kilebanoni la Hezbollah limethibitisha kuwa mmoja wa viongozi wa juu wa Israel anawapeleleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hezbollah lashambulia jeshi la Israel

Kundi la wapiganaji wa Washia wa Lebanon walio chini ya vugu vugu la Hezbollah, linasema kuwa limetekeleza shambulio dhidi ya msafara wa wanajeshi wa Israeli katika mpaka wa mataifa hayo mawili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani