Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa azungumzia kukamatwa kwa wahamiaji haramu 46 wakitokea Ethiopia
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s72-c/unnamed+(59).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcFTJYCeRdk/UwR22Y-BxWI/AAAAAAAFN7E/GLm9CGeJqto/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x-qdOG-2Thw/UwR22WLwZLI/AAAAAAAFN7M/dBSmHZ3IvuI/s1600/unnamed+(61).jpg)
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s72-c/IMG_7354.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI RINGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s1600/IMG_7354.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeQNTX7oMyM/UxmeguzECoI/AAAAAAAFRtI/YYOOsw3KvQc/s1600/IMG_7362.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhR_gyHHfKg/Uxmeg4bwV2I/AAAAAAAFRtM/ZCRui4_lWd8/s1600/IMG_7370.jpg)
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LATOLEA UFAFANUZI KUHUSU KUKAMATWA KWA MTU MWENYE ASILI YA KIASIA AKIWA NA TSHS. 722,500,00 KATIKA HOTELI YA ST. GASPER
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWAVYOMBO VYA HABARI TAREHE 14/07/2015
Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
11 years ago
CloudsFM03 Jul
KAMANDA WA POLISI KINONDONI AZUNGUMZIA TUKIO LA BASI LA MAGEREZA KUSHAMBULIWA KWA RISASI
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa, aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia kwa kujipiga risasi.
Kamanda wa Polisi, mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, akithibitisha tukio la gari la...
10 years ago
MichuziWAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64 raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...
11 years ago
GPLIDARA YA UHAMIAJI MBEYA INAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA
10 years ago
Vijimambo29 May
WANAHABARI MKOA WA IRINGA WAKUTANA NA JESHI LA POLISI KATIKA KIKAO CHA MAHUSIANO MEMAâ€
![](http://api.ning.com/files/5wu8U2Maqbi0dhkCQdRpCwsTDMXX*FrKNRCbjRpu54-HySKoyjaRA7wu0JFoN8TjvlDQ3V6OapVvpTxr7BMutHrbCzAXd-l4/DSC_0231.jpg)
![](http://api.ning.com/files/5wu8U2MaqbgxoAxdw7MEByL2iUyk4OJyM-DgKmDlj4rb6CDUsuCwuGm3*KMEoUIAIGCQt0CaQqm06FPicOnqbZmHX1FujSF3/bloggerimage253005960.jpg)