Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji 19 wa LRA wajisalimisha

Jeshi la Uganda linadai kuwa limewakamata waasi 19 wa LRA na kumuua kamanda mmoja kwa jina Kanali Samuel Kangul.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha

Wanachama 200 wa kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamejisalimisha, jeshi la Nigeria limesema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wajisalimisha Zanzibar

BAADA ya kuchomoa kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi, uongozi wa klabu ya Yanga, umekiangukia Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), na kuomba radhi kwa kujitoa dakika za majeruhi. Makamu Mwenyekiti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.

Kundi la wanamgambo wa kiislam la Islamic State limekubaliana na kiapo cha utii kutoka kwa kikundi cha Nigeria cha Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Boko Haram wajisalimisha

Wafuasi wa Boko Haram zaidi ya 260 wajisalimisha nchini Nigeria

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo wajisalimisha kwa Rais Magufuli

magufuli1_55a2dfc75cd8d*Ni wa makampuni yaliyochota Sh bil 300 za CIS

*Zitto kabwe aibuka, aanika madudu ya Hazina

SHABANI MATUTU NA FLORIAN MASINDE

SIKU moja baada ya Serikali kuzitaka kampuni 980 zinazodaiwa fedha zilizotolewa na wahisani chini ya Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS), baadhi ya vigogo wameanza kujisalimisha kwa Serikali ya Rais John Magufuli.

Hatua hiyo imetokana na mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, kuwataka wafanyabiashara  wakubwa waliochota...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya

Takriban vijana 85 waliokuwa wamepokea mafunzo yenye itikadi kali wamejisalimisha kwa polisi nchini Kenya.

 

10 years ago

Vijimambo

BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14

Dokta Manyaunyau ambae ameombwa kuwa wa kwanza kujisalimisha kwake kutokana na matatizo makubwa aliyokuwa nayo.
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...

 

10 years ago

BBC

LRA commander 'to be sent to ICC'

Lord's Resistance Army commander Dominic Ongwen to be sent to International Criminal Court for trial, Uganda says.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kaburi la kamanda wa LRA lapatikana

Jeshi nchini Uganda linasema kuwa limegundua mabaki ya kamanda wa cheo cha juu wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army LRA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani