Yanga wajisalimisha Zanzibar
BAADA ya kuchomoa kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi, uongozi wa klabu ya Yanga, umekiangukia Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), na kuomba radhi kwa kujitoa dakika za majeruhi. Makamu Mwenyekiti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wapiganaji 19 wa LRA wajisalimisha
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Vigogo wajisalimisha kwa Rais Magufuli
*Ni wa makampuni yaliyochota Sh bil 300 za CIS
*Zitto kabwe aibuka, aanika madudu ya Hazina
SHABANI MATUTU NA FLORIAN MASINDE
SIKU moja baada ya Serikali kuzitaka kampuni 980 zinazodaiwa fedha zilizotolewa na wahisani chini ya Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS), baadhi ya vigogo wameanza kujisalimisha kwa Serikali ya Rais John Magufuli.
Hatua hiyo imetokana na mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, kuwataka wafanyabiashara wakubwa waliochota...
10 years ago
BBCSwahili29 May
Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s72-c/scan0003.jpg)
BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14
![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s640/scan0003.jpg)
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Yanga yaua Zanzibar
*Yaitungua Mafunzo 3-0, Kamusoko, Ngoma tishio
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya soka ya Yanga jana ilianza kwa kishindo michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuishushia kipigo cha mabao 3-0 timu ya Mafunzo katika mchezo wa ufunguzi uliopigwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Kipigo cha Yanga kwa Mafunzo ni salamu tosha kwa wapinzani wao, Azam FC ambao wamepangwa kundi B kwenye michuano hiyo ambayo inahusisha jumla ya timu nane kutoka Tanzania Bara, Zanzibar na URA kutoka Uganda.
Mabingwa hao watetezi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjiYbqp70Fk8mpBVH*uzERJfV6q7BHjCat27BUZodYyKYQj0VMPWytRUITMI9cbmiSLebnD2PRLkSiiK54yW9Pa/yanga.jpg)
Yanga yaifunika Simba Zanzibar