Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga wajisalimisha Zanzibar

BAADA ya kuchomoa kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi, uongozi wa klabu ya Yanga, umekiangukia Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), na kuomba radhi kwa kujitoa dakika za majeruhi. Makamu Mwenyekiti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 19 wa LRA wajisalimisha

Jeshi la Uganda linadai kuwa limewakamata waasi 19 wa LRA na kumuua kamanda mmoja kwa jina Kanali Samuel Kangul.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha

Wanachama 200 wa kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamejisalimisha, jeshi la Nigeria limesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Boko Haram wajisalimisha

Wafuasi wa Boko Haram zaidi ya 260 wajisalimisha nchini Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.

Kundi la wanamgambo wa kiislam la Islamic State limekubaliana na kiapo cha utii kutoka kwa kikundi cha Nigeria cha Boko Haram.

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo wajisalimisha kwa Rais Magufuli

magufuli1_55a2dfc75cd8d*Ni wa makampuni yaliyochota Sh bil 300 za CIS

*Zitto kabwe aibuka, aanika madudu ya Hazina

SHABANI MATUTU NA FLORIAN MASINDE

SIKU moja baada ya Serikali kuzitaka kampuni 980 zinazodaiwa fedha zilizotolewa na wahisani chini ya Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS), baadhi ya vigogo wameanza kujisalimisha kwa Serikali ya Rais John Magufuli.

Hatua hiyo imetokana na mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, kuwataka wafanyabiashara  wakubwa waliochota...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana 85 wenye itikadi kali wajisalimisha Kenya

Takriban vijana 85 waliokuwa wamepokea mafunzo yenye itikadi kali wamejisalimisha kwa polisi nchini Kenya.

 

10 years ago

Vijimambo

BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14

Dokta Manyaunyau ambae ameombwa kuwa wa kwanza kujisalimisha kwake kutokana na matatizo makubwa aliyokuwa nayo.
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yaua Zanzibar

ngoma na mafunzo*Yaitungua Mafunzo 3-0, Kamusoko, Ngoma tishio

NA MWANDISHI WETU

TIMU ya soka ya Yanga jana ilianza kwa kishindo michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuishushia kipigo cha mabao 3-0 timu ya Mafunzo katika mchezo wa ufunguzi uliopigwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

Kipigo cha Yanga kwa Mafunzo ni salamu tosha kwa wapinzani wao, Azam FC ambao wamepangwa kundi B kwenye michuano hiyo ambayo inahusisha jumla ya timu nane kutoka Tanzania Bara, Zanzibar na URA kutoka Uganda.

Mabingwa hao watetezi wa...

 

10 years ago

GPL

Yanga yaifunika Simba Zanzibar

Wachezaji wa Yanga. Na Wilbert Molandi, Unguja
KLABU ya Yanga imeendeleza rekodi nzuri ya mapato ya mechi kisiwani Zanzibar ambapo imeizidi Simba ambayo nayo ipo Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya utakaoanza mwezi ujao.
Yanga ilifanikiwa kuingiza shilingi milioni 8.9 katika mchezo wake wa kirafiki dhidi ya KMKM, juzi Jumatano kwenye Uwanja wa Amaan, Unguja. Upande wa Simba ambao ni wapinzani wakuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani