Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idara ya Elimu Kyela lawamani

WANANCHI kutoka kata mbalimbali wilayani Kyela, Mbeya wameilalamikia Idara ya Elimu iliyopo chini ya halmashauri ya wilaya hiyo kwa kutowaunga mkono katika ujenzi wa shule za msingi. Kauli hiyo ilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mabadiliko ya idara ya ukaguzi yatainusuru elimu?

Kamati ya Huduma za Jamii ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imependekeza pamoja na mambo mengine, Idara ya Ukaguzi wa Shule, iwe wakala kama njia ya kuimarisha ukaguzi shuleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua 13, wengi wa idara ya elimu

Watu 13 akiwamo mke wa Jaji, Profesa John Luhangisa, Retisia Luhangisa ambaye ni Ofisa Elimu wa Taaluma wa Halmashauri ya Meru mkoani hapa, wamefariki duniani baada ya gari la abiria aina ya Hiace walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi akizungumza na wakuu Idara katika wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi alipokutana nao leo alipokaribishwa kwa mara ya kwanza katika wizara  hiyo, tangu achaguliwe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa wizara, na kuwaagiza wakuu wa idara katika wizara hiyo kutoa taaarifa za idara zao ifikapo jumatatu ya wiki ijayo.Naibu Waziri wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

 

5 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akisalimiana na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia) baada ya kuwasili katika eneo la Iyumbu, ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akipokea salamu kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kyela waiharakisha CHADEMA

WANANCHI wilayani hapa mkoani Mbeya, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuanza mapema mchakato wa kulitwaa jimbo la Kyela baada ya jimbo hilo kuwa likizo kwa miaka minane baada...

 

10 years ago

Habarileo

Kyela ni Mwakyembe tena

WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela anayemaliza muda muda wake, ameshinda kura za maoni katika jimbo hilo akiwabwaga wagombea wenzake tisa waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua Kyela

Watu watatu wamefariki dunia na wengine watatu hawajulikani walipo baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali wilayani Kyela mkoani Mbeya.

 

9 years ago

Mtanzania

Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela

Na Mwandishi Wetu, Kyela

WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.

Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema  siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.

Alisema mwanafunzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani