Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko ya idara ya ukaguzi yatainusuru elimu?

Kamati ya Huduma za Jamii ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imependekeza pamoja na mambo mengine, Idara ya Ukaguzi wa Shule, iwe wakala kama njia ya kuimarisha ukaguzi shuleni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Je ukaguzi wa shule unaboresha elimu TZ?

Je Ukaguzi wa Shule unaweza kubaini na kusaidia kupunguza changamoto za elimu Tanzania?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Idara ya Elimu Kyela lawamani

WANANCHI kutoka kata mbalimbali wilayani Kyela, Mbeya wameilalamikia Idara ya Elimu iliyopo chini ya halmashauri ya wilaya hiyo kwa kutowaunga mkono katika ujenzi wa shule za msingi. Kauli hiyo ilitolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua 13, wengi wa idara ya elimu

Watu 13 akiwamo mke wa Jaji, Profesa John Luhangisa, Retisia Luhangisa ambaye ni Ofisa Elimu wa Taaluma wa Halmashauri ya Meru mkoani hapa, wamefariki duniani baada ya gari la abiria aina ya Hiace walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.

 

10 years ago

Vijimambo

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA

Mkaguzi Fahd Masanja (Katikati) akitoa elimu kuhusu Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa mmoja wa wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Kushoto ni Bw. Roy Mchomvu, Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta wa Ofis ya Taifa ya Ukaguzi.Bibi Salma Pamui, Mkaguzi wa Idara ya Pensheni (aliyenyanyua mikono) akitoa elimu kuhusu uhakiki wa taarifa za wastaafu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Idara ya Pensheni ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, ni Idara inayohakiki taarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko sekta ya elimu

SERIKALI imesema kuwa wanafunzi 16,800 wakiwemo watahiniwa wa kujitegemea 10, wenye sifa lakini wamekosa nafasi za kujiunga kidato cha tano, sasa wataanzishiwa utaratibu wa kusoma stashahada ya ualimu pamoja na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu yetu imepitia mabadiliko gani?

Ndani ya utandawazi, elimu isiyotosheleza, tafsiri yake ni umaskini zaidi; wakati elimu zaidi tafsiri yake ni maisha bora zaidi.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rais ajaye azingatie mabadiliko katika elimu

WAKATI kukiwa na hamu ya kujua nani atakuwa rais wa awamu ya tano atakayepokea kijiti cha Rais Jakaya Kikwete, bado sekta ya elimu ina changamoto zinazohitaji utatuzi wa haraka.

Moja ya matatizo hayo ni kubadilishwa mitaala ya elimu mara kwa mara kila anapoingia waziri mpya wa elimu, hawazingatii mazingira ya wanafunzi namna watakavyoipokea wanachojali ni kutumikia siasa na matakwa binafsi.

Si wakufunzi tu bali hata wanafunzi hupoteza mwelekeo na mpangilio wa masomo, hivyo kufanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof Kahigi: Serikali ifanyie mabadiliko sekta ya elimu

MBUNGE wa Bukombe, Profesa Kulikoyela Kahigi (CHADEMA), ameitaka serikali kuifanyia mabadiliko sekta ya elimu kwa kuzingatia hali ya utandawazi iliyopo, ili kuepukana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza. Profesa Kahigi alitoa ushauri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani