Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria ya kijeshi yatangazwa Thailand

Jeshi la Thailand limetangaza sheria za kijeshi katika juhudi za kurejesha utulivu wakati nchi hiyo imekumbwa na mzozo wa kisiasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Serikai ya kijeshi kuunda bunge Thailand

Kiongozi wa jeshi nchini Thailand ametangaza bunge jipya ambapo wanajeshi wengi watachukua viti vingi

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya NBAA yatangazwa

mbaga

Mkurugenzi Mtendaji Bodi NBAA Bw. Pius Maneno.

Na Nyakongo Manyama-Maelezo

Jumla ya watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3 wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wasahibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na uliofanyika Novemba 2015 kote nchini.

Katika matokeo hayo, wahitimu wengine 1867 ambao ni sawa na asilimia 32.9 wamefaulu baadhi ya masomo katika ngazi mbalimbali kati ya watahiniwa 6404 waliosajiliwa katika mitihani iliyofanyika novemba mwaka huu.

Hayo yamesemwa na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa

SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mali ya hayati Mandela yatangazwa

Hayati Nelson Mandela aliacha mali yenye thamani ya dola milioni nne ambayo alisema igawanywe kati ya familia, shule na chama cha ANC

 

11 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi

Hatimaye Tume ya uchaguzi nchini Malawi imeanza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo jumanne iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya hatari yatangazwa Vanuatu

Rais wa Vanuatu ameiambia BBC kuwa watu wengi wameachwa bila makao kutokana na kimbunga kikali kilichokumba kisiwa hicho

 

11 years ago

GPL

MAKUNDI KAGAME CUP YATANGAZWA

Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limetangaza makundi ya michuano ya Kagame Cup inayotarajia kufanyika nchini Rwanda kuanzia Agosti 8. Wawakilishi wa Tanzania Yanga wamepangwa kundi A wakiwa na wenyeji Rayon Sport pamoja KMKM kutoka Zanzibar, Coffee ya Ethiopia na Atlbara ya Sudani Kusini. Makundi yako kama ifuatavyo: Kundi A: Rayon Sport (Rwanda) Yanga (Tanzania) Coffee (Ethiopia) Atlbara (South Sudan)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani