Matokeo ya NBAA yatangazwa
Mkurugenzi Mtendaji Bodi NBAA Bw. Pius Maneno.
Na Nyakongo Manyama-Maelezo
Jumla ya watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3 wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wasahibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na uliofanyika Novemba 2015 kote nchini.
Katika matokeo hayo, wahitimu wengine 1867 ambao ni sawa na asilimia 32.9 wamefaulu baadhi ya masomo katika ngazi mbalimbali kati ya watahiniwa 6404 waliosajiliwa katika mitihani iliyofanyika novemba mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 May
Matokeo ya uchaguzi yatangazwa Malawi
10 years ago
GPL
11 years ago
Michuzi21 Feb
MATOKEO KIDATO CHA NNE YATANGAZWA LEO
11 years ago
GPL
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 YATANGAZWA
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Matokeo kidato cha sita yatangazwa, ufaulu waongezeka
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Matokeo ya Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mei 2014 yatangazwa rasmi
Kaimu Katibu Mkuu wa baraza la Taifa la Mitihani, Dk. Charles E. Msonde akisoma matokeo hayo ya mitihani ya Ualimu kwa mitihani iliyofanyika mwaka huu nchini kote.
Matokeo ya Mitihani ya Mei 2014 yanapatikana katika Tovuti zifuatazo:
www.matokeo.necta.go.tz, www.necta.go.tz au www.moe.go.tz na www.pmoralg.go.tz
Press Release Ualimu Template 2014
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
Matokeo ya kidato cha nne yatangazwa, Sekondari ya Kaizirege yaongoza..List kamili iko hapa
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini,Dk. Charles Msonde.
Ufaulu Kidato cha Nne 2014 wapanda kwa asilimia 10
Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha IV mwaka 2014 wamefaulu ikiwa ni ongezeko la 10.08% kulinganisha na mwaka 2013 ambapo wanafunzi 235,227 sawa na 58.25 walifualu.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dkt Charles Msonde
Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha...
10 years ago
TZToday16 Jul
11 years ago
Dewji Blog06 Oct
Maafali ya 36 ya NBAA yafana
Baadhi ya wahitimu wa NBAA wakiwa katika maandamano ya kitaaluma wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana ambapo jumla ya wahitimu 855 walipata Degrii ya juu ya uhasibu (CPA) na wahitimu 82 walitunukiwa cheti cha utunzaji wa hesabu (ATEC.)
Mgeni rasmi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda Mhe. Janeth Mbene akiongea na wahitimu (hawapo pichani) wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana.