Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafali ya 36 ya NBAA yafana

Pix 1

Baadhi ya wahitimu wa NBAA wakiwa katika maandamano ya kitaaluma wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana ambapo jumla ya wahitimu 855 walipata Degrii ya juu ya uhasibu (CPA) na wahitimu 82 walitunukiwa cheti cha utunzaji wa hesabu (ATEC.)

Pix 3

Mgeni rasmi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda  Mhe. Janeth Mbene akiongea na wahitimu (hawapo pichani) wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana.

Pix 2

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mahafali ya 36 ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) yafana

Baadhi ya wahitimu wa National Board of Accountants and Auditors (NBAA)  wakiwa katika maandamano ya kitaaluma wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana ambapo jumla ya wahitimu 855 walipata Degrii ya juu ya uhasibu (CPA) na wahitimu 82 walitunukiwa cheti cha utunzaji wa hesabu (ATEC.) Mkurugenzi wa Bodi ya NBAA Bw. Pius Maneno akitoa hotuba fupi kabla yakumkaribisha mgeni rasmi wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya NBAA yatangazwa

mbaga

Mkurugenzi Mtendaji Bodi NBAA Bw. Pius Maneno.

Na Nyakongo Manyama-Maelezo

Jumla ya watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3 wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wasahibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na uliofanyika Novemba 2015 kote nchini.

Katika matokeo hayo, wahitimu wengine 1867 ambao ni sawa na asilimia 32.9 wamefaulu baadhi ya masomo katika ngazi mbalimbali kati ya watahiniwa 6404 waliosajiliwa katika mitihani iliyofanyika novemba mwaka huu.

Hayo yamesemwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Asilimia 30 ya watahiniwa NBAA wafaulu

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imesema asilimia 30.2 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya Bodi wamefaulu.

 

11 years ago

IPPmedia

National Board of Accountants and Auditors (NBAA)


IPPmedia
National Board of Accountants and Auditors (NBAA)
IPPmedia
The National Board of Accountants and Auditors (NBAA) on Monday launched a new syllabus in a move to enable Tanzanian students who pursue Certified Public Accounts (CPA) to be recognised by the International Federation of Accounts (IFA).
NBAA Challenged to Seek International RecognitionAllAfrica.com

all 2

 

9 years ago

Mwananchi

Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA

Watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3, wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) iliyofanyika Novemba.

 

11 years ago

Mwananchi

NBAA yabadili mitalaa kozi za uhasibu

Bodi ya Taifa ya Uhasibu (NBAA) imebadili mitalaa itakayotumika kuwatahini watahiniwa katika daraja juu la uhasibu Certified Public Accountant (CPA) kwa lengo la kuongeza ufanisi katika taaluma hiyo.

 

11 years ago

Daily News

NBAA challenged to seek international recognition


NBAA challenged to seek international recognition
Daily News
THE government launched new syllabi on accounting and professional examination schemes with a call to the National Board of Accountants and Auditors (NBAA), to market its operations beyond the country's borders for its examination to be recognised ...

 

11 years ago

Habarileo

LAPF yang’ara mara ya 5 Tuzo za NBAA

MFUKO wa Pensheni wa LAPF kwa mara nyingine umeibuka Mfuko Kinara wa Tuzo za Bodi ya Uhasibu Nchini (NBAA) za Utunzaji Bora wa Mahesabu kuliko mifuko mingine ya pensheni nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NBAA yazidi kujipanga kuchangia ukuaji uchumi

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu nchini (NBAA) imeahidi kuendelea kutoa mchango wake wa kitaaluma hapa nchini, ili kuhakikisha uchumi wa nchi unakua. Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, Pius...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani