Maafali ya 36 ya NBAA yafana
Baadhi ya wahitimu wa NBAA wakiwa katika maandamano ya kitaaluma wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana ambapo jumla ya wahitimu 855 walipata Degrii ya juu ya uhasibu (CPA) na wahitimu 82 walitunukiwa cheti cha utunzaji wa hesabu (ATEC.)
Mgeni rasmi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda Mhe. Janeth Mbene akiongea na wahitimu (hawapo pichani) wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMahafali ya 36 ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) yafana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Matokeo ya NBAA yatangazwa
Mkurugenzi Mtendaji Bodi NBAA Bw. Pius Maneno.
Na Nyakongo Manyama-Maelezo
Jumla ya watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3 wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wasahibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na uliofanyika Novemba 2015 kote nchini.
Katika matokeo hayo, wahitimu wengine 1867 ambao ni sawa na asilimia 32.9 wamefaulu baadhi ya masomo katika ngazi mbalimbali kati ya watahiniwa 6404 waliosajiliwa katika mitihani iliyofanyika novemba mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
11 years ago
Habarileo03 Jul
Asilimia 30 ya watahiniwa NBAA wafaulu
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imesema asilimia 30.2 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya Bodi wamefaulu.
11 years ago
IPPmedia04 Jun
National Board of Accountants and Auditors (NBAA)
IPPmedia
National Board of Accountants and Auditors (NBAA)
IPPmedia
The National Board of Accountants and Auditors (NBAA) on Monday launched a new syllabus in a move to enable Tanzanian students who pursue Certified Public Accounts (CPA) to be recognised by the International Federation of Accounts (IFA).
NBAA Challenged to Seek International RecognitionAllAfrica.com
all 2
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA
11 years ago
Mwananchi19 Jul
NBAA yabadili mitalaa kozi za uhasibu
11 years ago
Daily News03 Jun
NBAA challenged to seek international recognition
NBAA challenged to seek international recognition
Daily News
THE government launched new syllabi on accounting and professional examination schemes with a call to the National Board of Accountants and Auditors (NBAA), to market its operations beyond the country's borders for its examination to be recognised ...
11 years ago
Habarileo15 Dec
LAPF yang’ara mara ya 5 Tuzo za NBAA
MFUKO wa Pensheni wa LAPF kwa mara nyingine umeibuka Mfuko Kinara wa Tuzo za Bodi ya Uhasibu Nchini (NBAA) za Utunzaji Bora wa Mahesabu kuliko mifuko mingine ya pensheni nchini.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
NBAA yazidi kujipanga kuchangia ukuaji uchumi
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu nchini (NBAA) imeahidi kuendelea kutoa mchango wake wa kitaaluma hapa nchini, ili kuhakikisha uchumi wa nchi unakua. Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, Pius...