NBAA yazidi kujipanga kuchangia ukuaji uchumi
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu nchini (NBAA) imeahidi kuendelea kutoa mchango wake wa kitaaluma hapa nchini, ili kuhakikisha uchumi wa nchi unakua. Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, Pius...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Nov
Kipaumbele ni ukuaji uchumi wa wananchi
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli amefungua Bunge la 11 na kuwataka watendaji kote nchini kuhakikisha wanashiriki katika vita ya kuondoa umasikini, ili ukuaji wa uchumi wa nchi uendane na ukuaji wa uchumi wa watu na kusisitiza kuongeza ajira kupitia viwanda.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
TPSC Tanga chachu ya ukuaji wa uchumi
“MAFUNZO haya ni muhimu sana kwa viongozi wetu katika kuhakikisha wanasimamia fedha za walipa kodi ipasavyo.” Hiyo ni kauli ya Mkurugenzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi...
10 years ago
GPLWACHINA WAVUTIWA NA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
Sweden yafurahishwa na ukuaji wa uchumi wa Tanzania
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo alipotembelea kiwanda cha METSO cha kutengenezea vipuli vya mitambo ya gesi na mafuta katika jiji la Helsinki, Finland.(Picha na IKULU).
Serikali ya Sweden inaridhishwa na kiwango cha maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita na inadhamiria kuinua ushirikiano baina yake na Tanzania ili kuleta maana zaidi katika maendeleo na kukua kwa uchumi kwa ujumla.
Waziri Mkuu wa Sweden Stefan Lofven amesema hayo tarehe 4, Juni,...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Utekelezaji duni wa mikakati wakwaza ukuaji uchumi
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Ukuaji wa uchumi nchini washuka kwa asilimia 2.1
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ukuaji wa uchumi unavyotegemea sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi
![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ripoti ya UK ThinkTank inaongeza kuwa mafanikio ya ukuaji wa kiuchumi Tanzania yamewezeshwa na juhudi za serikali kukuza sekta ya viwanda na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Matokeo ya juhudu hizo yameifanya Tanzania kuwa mmoja ya wauzaji wakubwa nje wa dhahabu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LblDlfspEBY/XlQHV2Ax4DI/AAAAAAALfLw/jtVRmfySSmYGdnnw8hxVyqfH-IuUUmj2QCLcBGAsYHQ/s72-c/3.png)
Majadiliano Sekta ya Umma na Binafsi Chachu Ukuaji wa Uchumi
![](https://1.bp.blogspot.com/-LblDlfspEBY/XlQHV2Ax4DI/AAAAAAALfLw/jtVRmfySSmYGdnnw8hxVyqfH-IuUUmj2QCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge (kulia) pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa, Dkt. Godwill Wanga (kushoto) baada ya uzinduzi wa Muongozo wa majadiliano kati ya sekta ya Umma na Binafsi katika ngazi ya Mikoa na Wilaya uliofanyika leo jijini...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Sarafu moja kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika Mashariki