Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukuaji wa uchumi nchini washuka kwa asilimia 2.1

Kasi ya ukuaji wa uchumi nchini imeshuka kwa asilimia 2.1 katika robo ya kwanza ya mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Waziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi

 Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la kuandaa kitabu cha viashiria hatarishi (Risk Registry) vya Wizara ya Madini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma leo Mei 18, 2020. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Augustine Ollal. (Picha na Wizara ya Madini).  Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la...

 

5 years ago

Michuzi

IMF yaridhishwa mwenendo wa ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania




Na Ripota Wetu-Michuzi Blog Jitihada za makusudi za Serikali ya Awamu ya Tano katika kusimamia na kutekeleza sera madhubuti za fedha na uchumi hasa katika kusimamia ukusanyaji wa mapato na matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, pamoja na usimamizi wa Benki, zimeelezwa kuwa ni miongoni mwa vitu vilivyoifanya Tanzania kukua kiuchumi na kunakoisaidia kue ndelea na ukuaji wa kasi katika siku zijazo.

Kwa mujibu wa ripoti ndogo iliyotolewa Jijini Dar es Salaam na wataalam wa Shirika la...

 

11 years ago

Mwananchi

Kanda ya Ziwa yachangia asilimia 30 ya uchumi nchini

Wakati Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) likisema uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia saba, Idara ya Uchumi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza kuwa Mkoa wa Mwanza pekee unachangia pato la Taifa kwa asilimia 29.6.

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA FEDHA DUNIANI (IMF) LATOA RIPOTI NDOGO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI TANZANIA,BENKI KUU YATOA UFAFANUZI

SHIRIKA la Fedha duniani (IMF) limetoa taarifa ya mwenendo wa ukuaji wa uchumi kwa Tanzania na kwa mujibu wa taarifa hiyo IMF imeelzwa kufurahishwa na ukuaji wa uchumi, kupungua kwa mfumuko wa bei, kutengeneza ajira pamoja na  kuongezeka kwa uwekezaji unaofanywa na Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi katika sekta za elimu na afya.

Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya  IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...

 

11 years ago

Michuzi

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania

 Wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira Endelevu wa Ukuaji wa Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania. . katika Ukumbi wa NIMRI  Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya  Mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira  Endelevu wa ukuaji wa  u chumi na kupunguza Umaskini  Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani...

 

11 years ago

Michuzi

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo

Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa ukuaji wa u chumi na kupunguza Umaskini Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani Kisimbo ni Kaimu Mkurungezi wa Idara ya Mazingira na wadau wa Taasisi mbalimbali. wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa...

 

9 years ago

Habarileo

Kipaumbele ni ukuaji uchumi wa wananchi

RAIS wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli amefungua Bunge la 11 na kuwataka watendaji kote nchini kuhakikisha wanashiriki katika vita ya kuondoa umasikini, ili ukuaji wa uchumi wa nchi uendane na ukuaji wa uchumi wa watu na kusisitiza kuongeza ajira kupitia viwanda.

 

10 years ago

GPL

WACHINA WAVUTIWA NA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI

Naibu Katibu Mtendaji (Uchumi Jumla), Prof. Longinus Rutasitara (Wapili kushoto) akizungumza na Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China wakati walipofanya ziara nchini. Kushoto ni Naibu Katibu Mtendaji (Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi), Bw. Paul Sangawe. Naibu Katibu Mtendaji (Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi), Bw. Paul Sangawe akizungumza wakati wa ziara hiyo.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPSC Tanga chachu ya ukuaji wa uchumi

“MAFUNZO haya ni muhimu sana kwa viongozi wetu katika kuhakikisha wanasimamia fedha za walipa kodi ipasavyo.” Hiyo ni kauli ya Mkurugenzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani