Hali ya hatari yatangazwa Vanuatu
Rais wa Vanuatu ameiambia BBC kuwa watu wengi wameachwa bila makao kutokana na kimbunga kikali kilichokumba kisiwa hicho
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Misri yatangaza hali ya hatari
Misri imetangaza hali ya hatari katika eneo la Sinai kufuatia kuuawa kwa takriban wanajeshi 31
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Tunisia yatangaza hali ya hatari
Tishio la mashambulio katika mji mkuu, yafanya wakuu wa Tunisia kutangaza hali ya dharura
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Maombolezo na hali ya hatari Ufaransa
Baada ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ijumaa, Ufaransa yatangaza maombolezo na hali ya hatari
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Rais wa Mali atangaza hali ya hatari
Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita ametangaza hali ya hatari nchini humo baada ya shambulio kwenye hoteli moja mjini Bamako kuua watu zaidi ya 20.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Gavana atangaza hali ya hatari, Missouri
Gavana wa jimbo la Missouri nchini Marekani ametangaza hali ya hatari kabla ya kutolewa uamuzi muhimu kuhusu kumfungulia mashitaka
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Hali ya hatari Chad kukabili Boko Haram
Chad imetangaza hali ya hatari eneo la Ziwa Chad baada ya kuongezeka kwa mashambulio kutoka kwa wapiganaji wa Boko Haram
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZSPJSna_Jic/XmouUePTI6I/AAAAAAALixg/-U3Pdy99Mrsp-Rxcx9MdNgloSKTFTL2IQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7fac59541c91m71u_800C450.jpg)
Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZSPJSna_Jic/XmouUePTI6I/AAAAAAALixg/-U3Pdy99Mrsp-Rxcx9MdNgloSKTFTL2IQCLcBGAsYHQ/s640/4bv7fac59541c91m71u_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, wakuu wa jiji la Washington DC wametangaza hali ya hatari katika jiji hilo na kupiga marufuku mikusanyiko ya watu wanaozidi elfu moja.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi za maafisa wa afya wa Marekani, hadi hivi sasa zaidi ya watu elfu moja na mia moja wameambukizwa virusi vya corona...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ693JhtbMu6u27Ji7YC0cnzkASkIWI7vwg8wbUkwcEx7ZyfBjhaUo7kFOdfmkY2-hI*f2H5OIO4FdxtaEdYvNt9E/Soko.jpg?width=650)
SOKO LA BUGURUNI: SHILINGI MIL.27 HUKUSANYWA KWA MWEZI, LAKINI HALI YA UCHAFU SOKONI HAPO NI HATARI
Na Makongoro Oging’
Soko la Buguruni ni moja kati ya masoko makubwa yanayotegemewa katika Jiji la Dar es Salaam kwa serikali kujipatia kipato pia wateja kujipatia mahitaji ya kila siku lakini cha kushangaza ni kwamba uchafu umekithiri. Muonekano wa soko la Buguruni. Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko hilo, Said Habibu Kondo amesema soko hilo lina wafanyabiashara 3,000 na kila mmoja hutozwa ushuru na manispaa kati ya...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Misaada yawasili kisiwani Vanuatu
Msaada wa dharura umeanza kuwasilishwa katika visiwa vilivyoathiriwa vibaya na kimbunga Pam nchini Vanuatu wiki iliyopita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania