Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunisia yatangaza hali ya hatari

Tishio la mashambulio katika mji mkuu, yafanya wakuu wa Tunisia kutangaza hali ya dharura

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Misri yatangaza hali ya hatari

Misri imetangaza hali ya hatari katika eneo la Sinai kufuatia kuuawa kwa takriban wanajeshi 31

 

5 years ago

Michuzi

Marekani yatangaza hali ya hatari mjini Washington kutokana na wimbi la virusi vya corona

Meya wa Washington DC, Muriel Bowser huko Marekani usiku wa kuamkia leo ametangaza hali ya hatari katika mji huo baada ya kuenea wimbi la maambukizi ya virusi hatari vya corona.

Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, wakuu wa jiji la Washington DC wametangaza hali ya hatari katika jiji hilo na kupiga marufuku mikusanyiko ya watu wanaozidi elfu moja.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi za maafisa wa afya wa Marekani, hadi hivi sasa zaidi ya watu elfu moja na mia moja wameambukizwa virusi vya corona...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii

 

9 years ago

BBCSwahili

Chile yatangaza hali ya dharula

Serikali ya Chile imetangaza hali ya dharula katika mji uliokumbwa na tetemeko lenye nguvu

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yatangaza hali ya tahadhari Iraq

UN imetangaza hali ya tahadhari ya kiwango cha juu zaidi cha dharura kwa watu milioni moja unusu nchini Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Liberia yatangaza hali ya dharura

Liberia imetangaza hatua za dharula dhidi ya ugonjwa wa Ebola kufuatia kasi kubwa ya kuenea kwa ugonjwa huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sierra Leone yatangaza hali ya tahadhari

Rais wa Sierra Leone ametangaza hali ya tahadhari ilikupambana na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Guinea yatangaza hali ya dharura

Rais wa Guinea ametangaza hatua za dharura kwenye majimbo matano ya nchi hiyo katika mpango mpya wa kuangamiza ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya hatari yatangazwa Vanuatu

Rais wa Vanuatu ameiambia BBC kuwa watu wengi wameachwa bila makao kutokana na kimbunga kikali kilichokumba kisiwa hicho

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani