Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Liberia yatangaza hali ya dharura

Liberia imetangaza hatua za dharula dhidi ya ugonjwa wa Ebola kufuatia kasi kubwa ya kuenea kwa ugonjwa huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Guinea yatangaza hali ya dharura

Rais wa Guinea ametangaza hatua za dharura kwenye majimbo matano ya nchi hiyo katika mpango mpya wa kuangamiza ugonjwa wa ebola.

 

5 years ago

Michuzi

DRC yatangaza hali ya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza hali ya dharura na kuufunga mji mkuu wa Kinshasa kujitenga katika hatua ya kupambana naa maambukizi ya virusi vya Corona.

Rais Félix Tshisekedi alitangaza kuchukua hatua hizo jana jioni kupitia televisheni ya taifa.

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, pamoja na kufunga mipaka ya nchi, kusitisha safari za ndani na nje ya mji mkuu zikiwemo za mabasi, ndege na majini, utekelezaji wa haraka unahitajika.

Mpaka sasa Jamhuri ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia yatangaza kudhibiti Ebola

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametangaza kwamba ugonjwa wa Ebola umedhibitiwa

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:WHO laanda mkutano wa dharura

Shirika la afya duniani leo linaongoza mkutano wa kamati yake ya dharura kutathmini hali ya hivi karibuni kusiana na mlipuko wa Ebola .

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri yatangaza hali ya hatari

Misri imetangaza hali ya hatari katika eneo la Sinai kufuatia kuuawa kwa takriban wanajeshi 31

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yatangaza hali ya tahadhari Iraq

UN imetangaza hali ya tahadhari ya kiwango cha juu zaidi cha dharura kwa watu milioni moja unusu nchini Iraq.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatangaza hali ya hatari

Tishio la mashambulio katika mji mkuu, yafanya wakuu wa Tunisia kutangaza hali ya dharura

 

9 years ago

BBCSwahili

Chile yatangaza hali ya dharula

Serikali ya Chile imetangaza hali ya dharula katika mji uliokumbwa na tetemeko lenye nguvu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani