Wakongwe tunakufa na hazina kubwa -2
Katika sehemu ya kwanza ya maelezo ya msanii mkongwe Catherine John (Bi Nyakomba) Jumamosi iliyopita alieleza mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Mabadiliko haya ndani ya sekta ya habari ni hazina kubwa kwa nchi
Na Mwandishi wetu
Sekta ya Habari ni moja ya sekta za huduma za jamii inayotoa huduma ambayo ni haki ya msingi ya raia kama ilivyotamkwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Ibara ya 18 (2) ya Katiba inasema kuwa kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wowote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.
Aidha, kutafuta na kupewa habari kunatambuliwa duniani kote...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
‘Wakongwe mizigo Ashanti’
10 years ago
Habarileo25 Feb
Watendaji 'wakongwe' kupanguliwa
WATENDAJI wa Halmashauri waliokaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka 10 , wataanza kuhamishwa wakati wowote kuanzia sasa kuleta ufanisi katika utendaji na kukomesha kufanya kazi kwa mazoea.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7b7wHpTBVMo/VoK7irKJ0sI/AAAAAAAIPSA/wM584C0xOuk/s72-c/bc4df220-e883-4fbc-ac59-08796f317c73.jpg)
wakongwe wa habari na sheria wanapokutana...
![](http://2.bp.blogspot.com/-7b7wHpTBVMo/VoK7irKJ0sI/AAAAAAAIPSA/wM584C0xOuk/s640/bc4df220-e883-4fbc-ac59-08796f317c73.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fkl7kqmuGiQ/VoK7jSpVtPI/AAAAAAAIPSE/JZYTHN3nkr0/s640/ca16f20a-a90a-40cf-b984-d01aa664109e.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana
9 years ago
Bongo Movies17 Nov
Wasanii wa Leo Wanatuogopa Wakongwe – Mau
MSANII wa filamu na vichekesho Maulid Alli ‘Maufundi’ ametoa kali ya mwaka pale aliposema moja ya sababu kubwa ya yeye na wasanii wakongwe kushiriki filamu chache ni uoga wa wasanii walioigia katika tasnia ya filamu sasa na kupata nafasi ya kutengeneza filamu kisha kusambazwa.
“Ni utani kumweka Simba na Swala katika zizi moja eti Simba kashiba, wasanii sisi wa kitambo kile tuna njaa ya kazi tufanye vizuri watazamaji wetu wafurahi na uwezo wa kuigiza upo, hawa wenzetu wana mitaji sasa...
10 years ago
Habarileo09 Aug
Liewing afurahia wakongwe Stand Utd
KOCHA wa Stand United, Patrick Liewig amefurahia kuwepo kwa Masoud Nassoro, Haroun Chanongo na Amri Kiemba kwenye kikosi chake.
9 years ago
Bongo Movies05 Nov
Soko Haliuliwi na Wasanii Wakongwe- Monalisa
YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa si kweli kama soko la filamu linauliwa na wasanii wakongwe au ambao wapo muda mrefu bali kuna changamoto nyingi.
kweli kama wasanii wakongwe kuwepo katika game ndio wanaua soko la filamu, toka nakua nimekuwa nikisikia wasanii kama Angelina Jolie ana filamu bado zinauza, kwangu wagombea wa Urais wana deni la kulipa,”anasema Monalisa.
Monalisa anaenda mbele zaidi kwa kusema kuwa...