Wanafunzi waua jambazi lenye SMG
Yalipora mamilioni na kuua mfanyabiashara
Mengine mawili yanaswa Moshi na silaha kali
NA MARCO KANANI, GEITA
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyang’wale mkoani Geita, wamefanikiwa kumuua mtuhumiwa wa ujambazi akiwa na SMG, kwa kumshambulia na mawe.
Mtuhumiwa huyo na mwenzake, wakiwa na silaha ya aina ya SMG, juzi walizua taharuki kubwa baada ya kuvamia maduka mawili na kupora kiasi cha fedha ambacho hakijajulikana na kisha kumuua mfanyabiashara kwa risasi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jan
Kanda ya Ziwa wanasa jambazi sugu, SMG, risasi 331
POLISI wa mikoa ya Mwanza, Simiyu na Shinyanga wamefanikiwa kusambatarisha mtandao wa ujambazi kwenye mikoa hiyo baada ya kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi sugu, Njile Samweli (46) mkazi wa kijiji cha Lyoma, Bariadi mkoani Simiyu aliyekuwa akitafutwa kwa muda mrefu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pkAizUyp4G0/XlUR9VmfLXI/AAAAAAALfRY/N6BCykH_BRYxIpDduBG9Q8NPOeWEU9aHgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
POLISI DAR WAUA JAMBAZI SUGU MWENYE UMRI WA MIAKA 20
![](https://1.bp.blogspot.com/-pkAizUyp4G0/XlUR9VmfLXI/AAAAAAALfRY/N6BCykH_BRYxIpDduBG9Q8NPOeWEU9aHgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKAZI wa Mbagala jijini Dar es Salaam Ramadhan Rashid maarufu kwa jina la Asney Mjeuri anayetuhumiwa kwa ujambazi sugu ameuawa wakati akitaka kuwakimbia askari Polisi.
Akizungumza leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema kuwa mtuhumiwa huyo wa ujambazi sugu alikamatwa Februari 24 ,2020 saa saba usiku maeneo ya Sabasaba Mbagala Kizuiani...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wanamgambo waua wanafunzi Nigeria
10 years ago
Vijimambo17 Dec
TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBv-dAcMhUAmYz6m1n8vWgbXh82QmaPg8Y91ETUWVDsBaFCnwFT-YjpwK6ynBfG1HcCx75UhcKWFDuyutT92PvIg/h.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBvXw-v63J5zzDHETVrio4iQ2HACSDg6P*J4PeI-dmVpSJayA*HDe-CGSeN*7*qBMDVyGa*fyxgEbchueNO4N3vX/j.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBvANAdEzrzqQwFmeW1zgfwwrTu-jaITbFhimF7-iVu-gYQwNLADjON*VBT-gW1Se*YF1bmfMQjW4CJempObpHIp/k.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBuyxpD65USitCqHa2YD*phhc1PdnBHmjJA4pw2ki*JhUDgsq8438hs8NftmjiEgCL3GUg0KXG5pkI0rFkL8VXek/l.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBs9Mhpks-LCGsgkNz5JKxF-j-BnKxRkPT15nk6bhXL7hq*O-t4a6V090wWIYooIu3MQPaY8CsiqNxp2c5LbD3kD/v.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBuDb5MDa3Y6*LzYZGiD9R2rE4nBG4xNUJfbJo1RIn0817AKzDJfQGsVLLzWutp8Xzr5eU8-g0cPo6lFpA70omIm/e.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBsILQRxPzpxX*Q4zBc8J6W5VqK7eI5kXQcwh3Cr8XnM8jUStTpAC4pcb2decSSr0kF6cTe44TNbzHbtTEwliBIn/a.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBs0WvPmWMxXSlaoWxA8us3Urb118kpsurNLy9qGhcruRn9IUKzvI6-keYg9RL5pk1NFjTTZz7FMuhtfCKI-0X0o/b.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBvFOkn5FtlMP99I*IzrgPzm5bTwgAb69NKxL73jHaaeQ7xwMn6j2GwdQccqM-paBpX1bUPa7S*N738UhFIF3pr0/c.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBv8eBvd4fqfQb6SZQb7iFvvzMmDVHI55b09Y5U9MTcmqMoD76U2Hyy6jksZ7V7U4EkJ0OICSXzeYq9P-SRnrbAM/d.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBufWf*EUHPu*DmUgtrdWQvhfqWUL4WAYqM5qWESqAOFY7E76vYi-qHfElpZbSeXcUS-wG8AwpfHAGewDD563sgD/i.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBubEZdWggfDbvGhFzkUye7FRMmm5QQmBgptGZwLFzh2nEoTewe*Gbb9OSdoqu2NcPDuXAicyQG*Jhw-vINb1ePc/f1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBv*aDTaHh7ZeaT57o2MabVJZmg4fOwgSytCTJv*ZY6jv-JkvJNoptp8VOqdeP3PdHBfQHMv-HTxgtwXQdtYQkw-/g1.jpg)
TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Polisi yawazawadia waliokamata SMG
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xZ6ePdj3-e4/VDeruN63LLI/AAAAAAAANjU/R5ybZ1DrvJY/s72-c/IMG_20141010_100045.jpg)
WANANCHI WASALIMISHA SMG 2 POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-xZ6ePdj3-e4/VDeruN63LLI/AAAAAAAANjU/R5ybZ1DrvJY/s1600/IMG_20141010_100045.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kKd333plbG8/VDeryRFWJ3I/AAAAAAAANjc/MThUp5nbXzY/s1600/IMG_20141010_101015.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limefanikiwa kupata silaha mbili aina ya SMG ambazo zilisalimishwa na wananchi katika mbili tofauti huko wilayani ngorongoro.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani Arusha Lineratus Sabas alisema kuwa Silaha hizo zilisalimishwa na wananchi katika siku tofa uti tofauti ambapo alisema kuwa silaha ya kwanza ilisalimishwa September...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Bendi ya SMG yatimiza miaka 4 ya uimbaji
Mmoja wa waimbaji wa bendi hiyo akifanya yake.
Picha matukio ya sherehe ya kutimiza miaka minne ya bendi ya SGM. BENDI ya Soul.
Gospel International ‘SMG’ ya Kawe jijini Dar, jana Jumapili ilisherehekea kutimiza miaka minne katika huduma ya uimbaji.
Sherehe hiyo ilifanyika katika Kanisa la Living Watels lililopo Kawe Makuti linaloongozwa na mtume Onesmo Ndegi sambamba na kusindikizwa na waimbaji kama Elly Jo, John Honore, Heleni Kijazi (mwimbaji wa taarabu), Bombi Johnson na...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Mkulima anaswa na risasi 271 za SMG
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoa wa Singida linamshikilia mkulima na mkazi wa Matele-Kasulu mkoani Kigoma,Discon Bavumbi Masombo Kiyungu (45) kwa tuhuma ya kumiliki risasi 271 za bunduki ya kijeshi aina ya SMG kinyume na sheria.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari 18 mwaka...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
‘SMG’ aisikitikia safu ya ushambuliaji Ashanti