Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jambazi la uawa na Jeshi la Polisi Mkoani Singida!

RPC

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari Mkoani humo. (Picha ya Maktaba yetu). Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Jeshi la Polisi Mkoani Singida, limefanikiwa kumuawa Dotto William anayekadiriwa kuwa na umri kati ya 30 na 33 mkazi wa Kibaoni kata ya Kindai tarafa ya Unyaminkumbi mjini Singida anayesadikika kuwa ni jambazi sugu,wakati wa kupukushani za kumnyang’anya askari silaha.    Mtuhumiwa huyo ujambazi na  kinara  wa matukio ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi mkoani Singida lamshikilia mtu anayedhaniwa kuwa jambazi sugu

sedoyeka

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

Jeshi la polisi mkoani Singida,limefanikiwa kukamata mkulima na mkazi wa Kibaoni Iddy Issah (33), anayedhaniwa kuwa ni  jambazi sugu baada ya kulipiga risasi moja mguu wake wa kulia, wakati alipojaribu kutoroka.

Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Singida, ACP Simon Haule,alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari tatu mwaka huu saa 7.20 usiku katika baa ya Leaders iliyopo kata ya Kindai tarafa ya...

 

9 years ago

StarTV

Polisi Singida yamshikia kijana mmoja anayetuhumiwaa kuwa jambazi sugu:

 

Polisi mkoani Singida imefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyekuwa anatafutwa muda mrefu kwa tuhuma za ujambazi sugu, baada ya kumjeruhi kwa mpiga risasi wakati akijaribu kutoroka.

Mtuhumiwa huyo Idi Issa mwenye miaka 33 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida amekamatwa usiku wa kuamkia jana katika baa ya Leaders akihusishwa na matukio mbalimbali ya ujambazi wa silaha, moja likiwa ni kuvunja nyumba na kuwaibia raia wa China fedha taslimu shilingi milioni 17.4

Katika kikao na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA

 Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Jeshi la polisi mkoani  Geita limekamata bunduki saba (pichani) na mabomu kadhaa ya machozi eneo la Ushirombo wilaya ya Bukombe ikisadikiwa kuwa ni kati ya bunduki kumi zilizoporwa na majambazi yaliyovamia kituo cha polisi Bukombe na kufanya mauaji ya askari polisi wawili waliokuwa zamu  jana. Bunduki hizo, nne zikiwa SMG na tatu aina ya Shotgun  pamoja na panga zimepatikana  katika tanuri la kuchomea matofali zikiwa zimefichwa pamoja na mabomu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Singida lawashikilia waganga wa jadi wakiwa na nyara mbalimbali za serikali

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida, limetangaza vita dhidi ya waganga wa kienyeji wasiokuwa na vibali ambao wanajihusisha na kutoa ramli chonganishi.  Jeshi hilo limeanzisha msako mkali kwa waganga hao na kufanikiwa kukamata wanane katika kata moja ya Minga katika manispaa ya Singida.

Akitoa taarifa ya msako huo ulioanza machi 16 mwaka huu saa sita mchana, Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Singida,...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA NDANI YA WIKI HII LLIFANIKIWA KUMKAMATA MTUHUMIWA ALIYETENDA KOSA LA MAUAJI , KUTOROKA NA BAADAE KUKIFICHA KICHWA CHA MAREHEMU KUSIKOJULIKANA BAADA YA KUKIKATA , PIA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MTOTO WAO KWA MADAI YA KUIMARISHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI..

TUKIO LA KWANZA.
TAREHE 09/03/2020 MAJIRA YA 08:05HRS HUKO MAENEO YA MSITU WA MACHEMBA, KATA YA ISAMILO, WILAYA YA NYAMAGANI, JIJI NA MKOA WA MWANZA, MTOTO WA MTAANI ASIYEFAHAMIKA...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI SINGIDA LAWEKA ULINZI MASAA 24 KUZUIA WATU KUPITA KATIKA MAZIWA YALIYOUNGANA







Askari polisi wakiwa katika barabara ya Mwaja iliyofungwa baada ya maji kujaa kufuatia maziwa mawili kuungana kutokana na mafuriko.
Ulinzi ukiimarishwa.
Ulinzi ukiimarishwa.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.


Na Ismail Luhamba, Singida

MAZIWA ya Kindai na SingidaMunangi yamegeuka na kuwa kivutio kikubwa Mkoani wa Singida na Mikoa ya jirani baada ya maziwa hayo kujaa maji na kuungana kufutia mvua kubwa inayonyesha mkoani humo.

Baada historia kujirudia kwa maziwa haya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani