Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vibonzo vya mtume Uholanzi

Mwanasiasa wa mrengo wa kulia nchini Uholanzi Geert Wilders anasema kuwa atapeperusha picha za vibonzo vya kumhusu mtume Mohammed katika kituo cha runinga cha taifa nchini Uholanzi hii leo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vibonzo vya mtume:Wawili wauawa Texas

Polisi mjini Texas wamewaua watu wawili waliokuwa na silaha katika hafla moja ya uchoraji wa vibonzo vya mtume Mohammed.

 

10 years ago

GPL

POLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME

Ofisa wa polisi akidumisha ulinzi eneo lilipotokea shambulio. Mwanausalama akiwatuliza watu waliohudhuria hafla hiyo baada ya shambulio. Rais wa kundi lililoandaa hafla hiyo la American Freedom Defense Initiative (AFDI), Pamela Geller akiongea na wanahabari.…

 

5 years ago

Michuzi

MWONGOZA VIBONZO VYA TOM NA JERRY AFARIKI DUNIA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MCHORAJI na mwongozaji wa vibonzo vya panya (Tom) na paka (Jerry) Eugene Merrill Deitch amefariki dunia ghafla akiwa na umri wa miaka 95 huko nyumbani kwake Prague mchapishaji wake Peter Himmel ameieleza The Associated Press.
Imeelezwa kuwa Eugene aliyezoeleka kuitwa Gene ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Oscar alifariki dunia ghafla siku ya Alhamisi usiku akiwa katika makazi yake.
Gene ameongoza sehemu zipatazo kumi na tatu za vibonzo vipendavyo na watoto ...

 

11 years ago

Bongo5

Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia

Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Gwiji la soka la timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona awasili ncjhini na kuelekea Serengeti

E86A4211

 

Mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,(kulia) akiwa na mdau wa soka wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha soka wilaya ya Hai,Harold Kifunda wakati wa mapokezi ya gwiji wa soka wa timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona.

Dixon Busagaga wa Busagaga’s Orijino Blog akizungumza jambo na mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,uwanja wa ndege wa Kimatifa wa Kilimanjaro ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vibonzo vyatumiwa kupasa ujumbe

Wasanii wabuni mfumo wa kutumia vibonzo kupasa ujumbe kwa jamii kama njia moja ya kuhakikisha ujumbe huo umeeleweka kwa undani

 

9 years ago

BBCSwahili

Kipanya:Vibonzo na siasa za Tanzania

Vibonzo vimechangia katika siasa hasa wakati wa kampeni za uchaguzi,vibonzo hivyo vyenye taswira ya masihara huwalenga wanasiasa

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi:Mchango wa vibonzo Tanzania

Vibonzo hupasha habari kwa urahisi kwa namna yenye kuvutia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani