MWONGOZA VIBONZO VYA TOM NA JERRY AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gqDLl_oyEAw/Xp4Ao_WCFYI/AAAAAAALnnY/JG6HuC1CwTIPo3YeH1P00IKAmrY_1ulhACLcBGAsYHQ/s72-c/0_PAY-MAIN-Gene-Deitch.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MCHORAJI na mwongozaji wa vibonzo vya panya (Tom) na paka (Jerry) Eugene Merrill Deitch amefariki dunia ghafla akiwa na umri wa miaka 95 huko nyumbani kwake Prague mchapishaji wake Peter Himmel ameieleza The Associated Press.
Imeelezwa kuwa Eugene aliyezoeleka kuitwa Gene ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Oscar alifariki dunia ghafla siku ya Alhamisi usiku akiwa katika makazi yake.
Gene ameongoza sehemu zipatazo kumi na tatu za vibonzo vipendavyo na watoto ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589168086774.jpg)
MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s400/FB_IMG_1589168086774.jpg)
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki
Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.
Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.
Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Vibonzo vya mtume Uholanzi
10 years ago
BBCSwahili04 May
Vibonzo vya mtume:Wawili wauawa Texas
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mj1bnT_AkVI/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBaFCuu*E43XQ02kxLsxGHU5F7*N9ZhpB4ceT5H1-ungSWJMgHx1Yhski*tuEJGhj13p*rS8EepKIl0Xd9LYBTd/1.jpg)
POLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ebola:Marekani yatoa mwongoza mpya
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mwanakatwe afariki dunia
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa Shirikisho la Soka Tanzania – TFF), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe amefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali Kuu ya...