Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWONGOZA VIBONZO VYA TOM NA JERRY AFARIKI DUNIA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MCHORAJI na mwongozaji wa vibonzo vya panya (Tom) na paka (Jerry) Eugene Merrill Deitch amefariki dunia ghafla akiwa na umri wa miaka 95 huko nyumbani kwake Prague mchapishaji wake Peter Himmel ameieleza The Associated Press.
Imeelezwa kuwa Eugene aliyezoeleka kuitwa Gene ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Oscar alifariki dunia ghafla siku ya Alhamisi usiku akiwa katika makazi yake.
Gene ameongoza sehemu zipatazo kumi na tatu za vibonzo vipendavyo na watoto ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA

Dar es Salaam
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki 

Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.

Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.

Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vibonzo vya mtume Uholanzi

Mwanasiasa wa mrengo wa kulia nchini Uholanzi Geert Wilders anasema kuwa atapeperusha picha za vibonzo vya kumhusu mtume Mohammed katika kituo cha runinga cha taifa nchini Uholanzi hii leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vibonzo vya mtume:Wawili wauawa Texas

Polisi mjini Texas wamewaua watu wawili waliokuwa na silaha katika hafla moja ya uchoraji wa vibonzo vya mtume Mohammed.

 

10 years ago

GPL

POLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME

Ofisa wa polisi akidumisha ulinzi eneo lilipotokea shambulio. Mwanausalama akiwatuliza watu waliohudhuria hafla hiyo baada ya shambulio. Rais wa kundi lililoandaa hafla hiyo la American Freedom Defense Initiative (AFDI), Pamela Geller akiongea na wanahabari.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia

>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Marekani yatoa mwongoza mpya

Maafisa wa afya wa Marekani wametoa mwongozo mpya juu ya kuwashughulikia matabibu wanaorudi Marekani

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge afariki dunia

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepata pigo lingine kwa kuondokewa na Mbunge wa Chalinze (CCM), Said Bwanamdogo, ambaye amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanakatwe afariki dunia

KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa Shirikisho la Soka Tanzania – TFF), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe amefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali Kuu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani