Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Marekani yatoa mwongoza mpya

Maafisa wa afya wa Marekani wametoa mwongozo mpya juu ya kuwashughulikia matabibu wanaorudi Marekani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola

1

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana,  kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...

 

10 years ago

GPL

WHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLA‏

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam leo,  kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola. Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya…...

 

5 years ago

Michuzi

MWONGOZA VIBONZO VYA TOM NA JERRY AFARIKI DUNIA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MCHORAJI na mwongozaji wa vibonzo vya panya (Tom) na paka (Jerry) Eugene Merrill Deitch amefariki dunia ghafla akiwa na umri wa miaka 95 huko nyumbani kwake Prague mchapishaji wake Peter Himmel ameieleza The Associated Press.
Imeelezwa kuwa Eugene aliyezoeleka kuitwa Gene ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Oscar alifariki dunia ghafla siku ya Alhamisi usiku akiwa katika makazi yake.
Gene ameongoza sehemu zipatazo kumi na tatu za vibonzo vipendavyo na watoto ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yatoa tahadhari

Serikali ya Marekani imetoa tahadhari ya kusafiri duniani kote kwa raia wake, ikiwaonya kuwepo kwa ongezeko la tishio la kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Canada yatoa Chanjo ya Ebola

Canada imesema itatoa dozi 1,000 za chanjo ya majaribio ya Ebola ili kusaidia kupigana na mlipuko wa ugonjwa huo Afrika magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Venezuela yatoa Masharti kwa Marekani

Venezuela imeipa wiki mbili Marekani kuondoa baadhi ya Wanadiplomasia wake walio nchini Venezuela

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Malaysia yatoa glavu milioni 20

Malaysia imetangaza kutoa mchango wa glavu milioni 20 kwa mataifa 5 yanayopambana na homa hatari ya Ebola Afrika Magharibi

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchina yatoa msaada zaidi wa Ebola

Uchina yatuma wanajeshi wenye ujuzi wa utibabu huko Liberia kusaidia wagonjwa wa Ebola

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yatoa silaha kwa waasi Syria

Jeshi la Marekani limetoa zaidi ya tani 45 za silaha kwa waasi wanaopambana na wanamgambo wa Islamic State (IS)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani