Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI WENYE VITUKO DUNIANI

Wakati kila mtu akiamini kuwa marais au viongozi wa nchi ni watu makini na wastaarabu hasa katika kufanya mambo yanayoendana na maadili na tamaduni za nchi zao, viongozi hawa ni kinyume chake ambapo katika vipindi tofauti vya utawala wao wameacha historia ya vituko mbalimbali vinavyowaacha wanahistoria wengi midomo wazi kwa kutoendana kabisa na nyadhifa walizonazo. Songa nayo… Lyndon B. Johnson
Alikuwa rais wa 36 wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wenye vituko Ligi Kuu Bara

Kipendacho roho ula nyama mbichi, ndivyo ilivyo katika soka kwani kila kukicha mashabiki wa timu mbalimbali wanabuni staili ambayo itanogesha uhamasishaji katika timu wanayoishangilia.

 

9 years ago

Bongo5

Wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani

Hii ni orodha ya wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani hii ni kwa mujibu wa ttandao wa www.sokkaa.com umetoa orodha hii ‘Most Handsome Footballers in the World’ 10. Mats Hummels-Borussi Drtmund Ni mchezaji wa kijerumani anaye chezea klabu ya Dortimnd ambaye ni nahodha wa kikosi hicho 9. Gerrard Piqué–FC Barcelona Gerrard Pique anakamata nafasi ya […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani

Jarida la Forbes limetoa orodha ya watu wenye nguvu na ushawishi zaidi duniani, huku Rais wa Marekani Barack Obama akiondolewa kutoka nafasi ya pili.

 

10 years ago

Michuzi

WALEMAVU KILIMANJARO WAADHIMISHA SIKU YA WENYE ULEMAVU DUNIANI

Kwaya ya wanafunzi kutoka shule ya msingi Mweleni ikiingia uwanjani kutumbuiza wakati wa siku ya watu wenye ulemavu dunia ambayo maadhimisho yake kwa mkoa wa Kilimanjaro yamefanyika katika viwanja vya kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi.Baadhi ya watu wenye ulemavu wakifurahia nyimbo iliyokua ikiimbwa na kikundi cha shule ya msingi Mweleni(hakipo pichani)Mgeni rasmi katika siku ya Wenye ulemavu duniani  afande Grace Lyimo akiwa na viongozi wengine meza kuu wakati wa maadhimisho ya siku hiyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Chagueni viongozi wenye kazi’

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amewataka wananchi kuchagua viongozi wenye kazi zao binafsi, badala ya kuchagua  viongozi wasiojishughulisha. Kinana alitoa rai hiyo juzi wakati akiwahutubia wananchi...

 

9 years ago

MillardAyo

Imenifikia TOP 5 ya wachezaji soka wenye majina marefu zaidi duniani …

Najua mtu wangu imekuwa ni kawaida kusikia majina ya wachezaji pindi wanapotangazwa kupitia Television au Radio wakati mpira ukichezwa, wengi huwa tunatambua majina ya kawaida na mafupi kutokana na namna ya matamshi ambayo mtangazaji hutamka. Stori kutoka thebesteleven.com hii ndio Top 5 ya majina marefu zaidi kwa wachezaji soka, huenda wakawepo wengine ila imenifikia list hii mtu […]

The post Imenifikia TOP 5 ya wachezaji soka wenye majina marefu zaidi duniani … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Afrika wenye shauku ya michezo

Mashabiki wa soka barani Afrika ni kati ya mashabiki wenye shauku kubwa na michezo na hata viongozi wao wengi nao wapo hivyo. Viongozi wengi wa Afrika wametumia mapenzi yao ya michezo kuwaunganisha wananchi wao.

 

10 years ago

Michuzi

JK aongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albinism Duniani leo jijini Arusha.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na baadhi ya watoto wenye albinism mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Sheikh amri Abeid mjini Arusha leo ambapo aliongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albinism Duniani leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na baadhi ya watoto wenye albism katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya watu wenye albinism Duniani leo. Picha na Freddy Maro

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani