‘Chagueni viongozi wenye kazi’
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amewataka wananchi kuchagua viongozi wenye kazi zao binafsi, badala ya kuchagua viongozi wasiojishughulisha. Kinana alitoa rai hiyo juzi wakati akiwahutubia wananchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Aug
‘Vijana chagueni viongozi wenye maslahi kwa taifa’
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imehimiza vijana kuhakikisha wanachagua viongozi wenye maslahi kwa taifa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel alitoa mwito huo jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Waumini wa dini chagueni viongozi bora -Madenge
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Mahmoud Madenge amesema uhuru na raha ya kuabudu vitaendelea kuwepo, endapo waumini wa dini mbalimbali watashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuchagua viongozi wanaoshughulikia matatizo ya wananchi.
9 years ago
Habarileo15 Sep
Mbarawa: Pemba chagueni CCM sasa muone kazi nzuri
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Mkanyageni, Pemba kwa tiketi ya CCM, Profesa Makame Mbarawa amewataka wananchi wa majimbo ya uchaguzi ya Pemba wasirudie makosa ya kukichagua Chama cha Wananchi (CUF) akisema viongozi wake hawapo kwa ajili ya maslahi ya wananchi na wapiga kura.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1mNLBQZYo5KHbnFYfwPpU7JKhKRvMp18oc27jyqwp2cU-qZHVCpu09p33TvB7OKhA7tJdM*VijaWLRv9vmkeVv/Lyndon_Johnson.jpg?width=650)
VIONGOZI WENYE VITUKO DUNIANI
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Viongozi wa Afrika wenye shauku ya michezo
10 years ago
Habarileo20 Mar
Wanasheria: Viongozi wenye kauli za kuudhi wawajibishwe
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema ipo haja ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma kutekelezwa kama ilivyoainishwa na sekretarieti na endapo wapo viongozi wanaotoa kauli zenye kuudhi wawajibishwe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVG1SGwInyqsziqzRt6RTPwJpKvNvYKgU*pfw79D3Sen1yvsd-hxy-1iMasXdbn32OFvz-vYzupZ2ybULKhU9p3t/66666666yy.jpg?width=650)
TANZANIA YETU NA VIONGOZI WENYE MILIONI 10 ZA MBOGA
10 years ago
StarTV27 Feb
Ukatili dhidi ya wenye Albinism, viongozi wa dini walaani.
Na Wilson Elisha,
Mwanza.
Viongozi wa kamati ya amani ya dini ya Mkoa wa Mwanza wamesema vitendo cha ukatili vinavyoendelea nchini dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino vya kuwaua kwa kuwakata mapanga kuwa ni laana kwa wanaofanya hivyo na havikubaliki katika jamii.
Kutokana na hali hiyo viongozi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wale wote wanaohusika wanachukuliwa hatua za kisheria ili haki iweze kutendeka wakati huu ambao wameandaa kongamano la wazi la...
10 years ago
Habarileo12 May
BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu
WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).