WALEMAVU KILIMANJARO WAADHIMISHA SIKU YA WENYE ULEMAVU DUNIANI
Kwaya ya wanafunzi kutoka shule ya msingi Mweleni ikiingia uwanjani kutumbuiza wakati wa siku ya watu wenye ulemavu dunia ambayo maadhimisho yake kwa mkoa wa Kilimanjaro yamefanyika katika viwanja vya kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi.
Baadhi ya watu wenye ulemavu wakifurahia nyimbo iliyokua ikiimbwa na kikundi cha shule ya msingi Mweleni(hakipo pichani)
Mgeni rasmi katika siku ya Wenye ulemavu duniani afande Grace Lyimo akiwa na viongozi wengine meza kuu wakati wa maadhimisho ya siku hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziCWT WAADHIMISHA SIKU YA WALIMU DUNIANI
10 years ago
Habarileo27 Sep
Zanzibar waadhimisha siku ya utalii duniani
KAMISHENI ya Utalii Zanzibar jana ilizindua Siku ya Utalii Duniani ambayo itafikia kilele chake kesho katika kijiji cha Nungwi wilaya ya Kaskazini Unguja.
10 years ago
VijimamboKIJIJI CHA GONGONI WILAYANI KILOSA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XWkdiJYV90/XmVHNpHvnxI/AAAAAAALiHs/YtS6QQeaY2QfG-nPearSz8BoNYC2WZ6CACLcBGAsYHQ/s72-c/pix-03AA-768x512.jpg)
TANESCO MOROGORO WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA WAREKEBISHWA GEREZA LA KINGORWUILA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XWkdiJYV90/XmVHNpHvnxI/AAAAAAALiHs/YtS6QQeaY2QfG-nPearSz8BoNYC2WZ6CACLcBGAsYHQ/s640/pix-03AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-05AA-1024x682.jpg)
Wafanyakazi wa TANESCO Mkoa wa Morogoro wakisheherekea siku ya Wanawake Duniani katika viwanja vya Jamuhuri Manispaa ya Morogoro
…………………………………………………………
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
Jamii imeaswa kusaidia watu wenye uhitaji wakiwemo walioko magerezani hususani wanawake kwa kuwa bado wanauhitaji wa vitu mbalimbali kama binaadamu wengine walioko uraiani.
Wito huo umetolewa na meneja wa TANESCO Mkoa wa Morogoro Mhandisi Fedgrace Shuma baada ya kutembelea gereza la wanawake la kingorwuila lililopo...
10 years ago
MichuziSOS WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KWA MWANZILISHI WA VIJIJI VYA WATOTO DUNIANI
Akizungumza na leo katika maadhimisho ya kuezi kuzaliwa kwa mwanzilishi Vijiji vya Watoto SOS,Herman Gmeiner,Mkurugenzi wa Kijiji cha SOS,Anglolwisye Mwollo-ntalima,amesema kuwa kila juni 23 kila mwaka wanaadhimisho kuzaliwa kwa Gmeiner.Mwollo-ntalima amesema kuwa kutokana na mwanzilishi huyo kwa sasa Rais wa SOS ni mtu aliyetokana na...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao
Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri nasaha na akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
LEO NI SIKU YA MWISHO: Piga kura uboreshe maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi
Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama “Tulip” itolewayo nchini Uholanzi. Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa katika uboreshaji wa maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi. Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na...
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10