UCHAGUZI MKUU: Shauku, Matarajio ya Uundwaji wa Serikali ya Rais JPM
Ni dhahiri kwa sasa macho, masikio na mawazo ya Watanzania yameelekezwa kwenye uundwaji wa Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli. Shauku na matarajio juu ya sura zitakazokuwamo kwenye Baraza la Mawaziri pamoja na watendaji wengine, vinatokana na kujipambanua vilivyo kwa Dk Magufuli pamoja na timu nzima ya CCM wakati wa kampeni za uchaguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 May
Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
UN na IGAD zapongeza uundwaji wa serikali mpya Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s640/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
Filippo Grandi, Kamishna wa UNHCR amesema katika taarifa kuwa, serikali mpya inahuisha matumaini ya amani na mustakabali mzuri kwa watu wa nchi hiyo ambao wameteseka kutokana na mgogoro wa muda mrefu.
Nayo IGAD imeahidi kuendelea kuiunga mkono...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi
9 years ago
Mwananchi22 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Selemani Jafo – Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015
The post Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015 appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s72-c/CCM-Logo.jpg)
RATIBA KAMILI YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s640/CCM-Logo.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANATAREHESHUGHULI/MAELEZO115 – 30/06/2020Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.215 – 30/06/2020Kutafuta wadhamini Mikoani.VIKAO VYA UCHUJAJI306 – 07/07/2020Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.408/07/2020Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.509/07/2020Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa: Kufikiria na kutoa Mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
TALGWU: Serikali isipolipa deni tutagomea Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dcIeNT1S_54/U7GW0uZnAdI/AAAAAAAFtrI/87HsITmv63M/s72-c/Mizengo-Pinda_0.jpg)
WAZIRI MKUU: MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA YANAENDELEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dcIeNT1S_54/U7GW0uZnAdI/AAAAAAAFtrI/87HsITmv63M/s1600/Mizengo-Pinda_0.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Juni 30, 2014) wakati akizungumza na Mameya wa Majiji, Manispaa na Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya Tanzania katika kikao cha siku moja kilichofanyika kwenye ukumbi wa Regal Naivera jijini Tanga.
Waziri Mkuu yuko Tanga kwa...