Just In: Ndege ya Algeria yenye watu 116 yapotea angani, haionekani kwenye radar
Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers imepotea kwenye radar mapema leo.
Mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga imesema imepoteza mawasiliano na ndege hiyo saa 0155 GMT, au dakika 50 baada ya kupaa. Hiyo ina maana kuwa ndege hiyo imepotea kwa saa kadhaa kabla ya habari hiyo kujulikana.
Ndege hiyo ilikuwa ikitoka Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116
11 years ago
Bongo524 Jul
Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA-ZOdajs*3eEwsoOs2ZTmX2oh8h*cX4B9pqnmdlnzR*3VEOh41n9cV1RiIInvz8WArDnDjMDQ9B85cvhhDhZWf/NDEGEE.jpg)
NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116
11 years ago
CloudsFM24 Jul
Ripoti: Ndege ya Algeria iliyobeba watu 116 imethibitishwa kuwa imeanguka
Ndege ya shirika la Algeria iliyokuwa imebeba abiria 116 ambayo awali iliripotiwa kuwa imepoteza mawasiliano kwa zaidi ya dakika 50 imethibitishwa kuwa imeanguka.
Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa Algeria wamethibitisha kuwa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Burkina Faso kwenda katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imeanguka Kusini mwa Mali.
Maafisa wa serikali ya Ufaransa wameeleza kuwa ndege hiyo AH5017 ilipotea kwenye radar katika eneo la Mali baada ya mvua kubwa kunyesha na...
10 years ago
Bongo528 Dec
Ndege ya shirika la AirAsia yapotea, ilikuwa na watu 162
10 years ago
CloudsFM29 Dec
NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
Ndege ya AirAsia, QZ8501iliyopoteza mawasiliano ikiwa na watu 162 ikitokea Indonesia kwenda Singapore.
![](http://api.ning.com/files/Zv0e1bgizgKyLyHMEnAw5sxpvmvrb-51O8Pc05ryy4G9nCSUQAp1GxNZc0trdWjg9w1QlPbz5IgG8wmq*QiDpxKvVItXGBWs/familia3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/Zv0e1bgizgLhaaGCixn1wILP54PlfjmyLRuXadsTMdC7t0yKb65*bMeug-BMGCLskGR6ucPEVK3v9lwJSWK-jQP3HVeu0QMq/familia4.jpg)
Kati ya watu hao 162, abiria walikuwa 155, marubani 2 na wafanyakazi wa ndege hiyo 5. Watu 157 ni raia wa Indonesia, 3 raia wa Korea Kusini, 1 kutoka Malaysia na 1 raia wa Singapore.
Imeelezwa kuwa kabla ya ndege hiyo kupoteza mawasiliano, rubani aliomba kubadili uelekeo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvfdPrb786JA3xGWyduuRhZLzuKRja3gOhnO-JXg*BAdkB0fSsd-7Pwp-RIjSxxadDYEnqGZ6c5TSSGVyO0-8PeM/AIRASIA.jpg)
MAJANGA MWISHONI MWA MWAKA 2014: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
News Alert: Air Algerie plane with 116 on board falls off radar
An Air Algerie flight with 116 people on board has dropped off radar, prompting a search for the missing plane, the airline’s operator said Thursday.
Flight 5017 lost radar contact 50 minutes after takeoff from Ouagadougou, Burkina Faso, early Thursday. It was supposed to arrive at Algiers’ Houari Boumediene Airport about four hours later.
The plane, an MD-83, was carrying 110 passengers, two pilots and four crew members. The MD-83 is part of the McDonnell Douglas MD-80 family of...