Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roboti zapata ajira mgahawani China

Mgahawa mmoja nchini China umeanza kutumia Roboti badala ya wafanyakazi kuwapakulia chakula na vinywaji wageni. Hebu tazama mambo yalivyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kampuni 51 zapata uwakala wa ajira

Wizara ya Kazi na Ajira imepokea maombi ya kampuni ya wakala wa huduma za ajira 87 kati ya hizo 51 zimepata usajili kwa kipindi cha mwaka mmoja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ajira zitakazochukuliwa na roboti

Je, Teknolojia imekuwa ikichukua kazi za mikono kwa miaka kadhaa sasa?Lakini ni kazi gani ambazo roboti itazinyakua katika miaka ya baadaye.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 16 wauawa mgahawani Misri

Watu 16 wameuawa katika mji mkuu wa Mirsi, Cairo, baada ya bomu kulipuliwa kwenye mgahawa mmoja, ripoti zinasema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ongezeko kubwa la vifo na maambukizi jimboni Hubei, China lagharimu ajira za maafisa wa juu

Maafisa wa juu wawili wafutwa kazi baada ya kugundulika ongezeko kubwa la maambukizi, lililotokana na njia mpya ya uchunguzi.

 

9 years ago

MillardAyo

Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!!

Kuna wakati Vyuo vikuu Tanzania ilibidi zianze kutangazwa na kupitishwa kanuni za mavazi ambayo wanafunzi wanatakiwa kuvaa, ule uhuru ulifanya wengine kuvaa mpaka nguo ambazo sio sahihi kuvaa hadharani !! Pata picha ni mgahawani na bado hauruhusiwi kuvaa nguo za aina fulani. Mgahawa huo wa McDonald ulipo maeneo ya Oak Wood, Melbourne Australia waliweka tangazo la […]

The post Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!! appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nchi changa zapata makadinali kadha

Papa Francis ageuza dira kuelekea ambako Kanisa Katoliki lina nguvu

 

9 years ago

Habarileo

Wilaya zenye njaa Dom zapata chakula

WANANCHI wa mkoa wa Dodoma watanufaika na tani 1,050 za chakula zilizotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu ambazo zitauzwa kwa bei nafuu na nyingine kugawiwa bure katika kukabiliana na baa la njaa katika wilaya zake.

 

10 years ago

Michuzi

Temeke,Dodoma zapata mabingwa wa Safari Pool

FAINALI za mashindano ya Safari Pool Taifa yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014”, mkoa wa kimichezo wa Temeke jijini Dar es Saalaam na Dodoma zimefanikiwa kupata mabingwa wa mikoa mwishoni mwa wiki.
Mkoa wa kimichezo wa Temeke mabingwa ni klabu ya Mpo Afrika walifanikiwa kutetea ubingwa wao wa mwaka jana wakati mkoani Dodoma Klabu ya Delux ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa huo.
Klabu ya Mpo Afrika na Delux kwa kutwaa ubingwa huo zilizawadiwa pesa taslimu...

 

10 years ago

GPL

TEMEKE, DODOMA ZAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL

Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (wa pili kulia), akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa Mpo Afrika, Charles Venance. Kulia ni Katibu wa Chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga, na kocha wa timu ya Taifa, Denis Rungu. Baadhi ya wachezaji wa Mpo Afrika na mashabiki  wakishangilia na kombe waliloshinda. KATIKA mchakato wa fainali… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani