Wilaya zenye njaa Dom zapata chakula
WANANCHI wa mkoa wa Dodoma watanufaika na tani 1,050 za chakula zilizotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu ambazo zitauzwa kwa bei nafuu na nyingine kugawiwa bure katika kukabiliana na baa la njaa katika wilaya zake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Mar
RIPOTI YA UKAGUZI: CCM, Chadema zapata hati zenye mashaka
10 years ago
StarTV15 Apr
Serikali yatenga tani 13,630 kwa ajili ya chakula cha njaa.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali imesema inaendelea na zoezi la usambazaji wa chakula cha njaa kwenye maeneo yaliyotathminiwa kuwa na upungufu wa chakula ambapo jumla ya tani 13,630 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo na tayari tani 7,560 zimekwishasambazwa kwa walengwa.
Miongoni mwa mikoa hiyo ni pamoja na Arusha, Kilimanjaro, Simiyu, Manyara, Tabora, Mara, Kagera, Lindi, Mtwara, Morogoro, Singida na Katavi.
Uzalishaji wa mazao ya chakula katika msimu wa 2013/14 ulifikia...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Mama Shujaa wa Chakula 2015 Caroline Chelele, akabidhiwa rasmi zawadi za vifaa vya kilimo zenye thamani ya Tsh Mil.20 Ifakara
Mshindi wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula Msimu wa nne Bi. Caroline Chelele aliyekaa kwenye Pawatila akifurahia zawadi zake, Muda mfupi baada ya kukabidhiwa.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombelo Bw. Yahya Naiya (wa pili kushoto) aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Kilombelo akikata utepe kuashiria tukio la kumkabidhi zawadi rasmi mama shujaa wa chakula msimu wa nne 2015 Bi. Caroline Chelele, wa kwanza kushoto ni Mercy Minja Kaimu mkurugenzi wa wa mji wa Ifakara, wa tatu kutoka kulia ni...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PfUvorCJUG4/Xk5ekka6O7I/AAAAAAALedQ/3qS-aoAtJjImcWHkVIoDcQgSQDHgKkbJgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BN0%2B01..jpg)
WAKALA WA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI WATOA ELIMU KWA MASHEHA WA WILAYA YA MJINI
Mkurugenzi wa Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi Zanzibar Dkt. Khamis Ali Omar amewataka wananchi kujitahadhari na matumizi ya chakula na dawa ambazo zimemaliza muda na vipodozi ambavyo havijathibitishwa ili kuepuka maradhi yatokanayo na sumu .
Hayo aliyasema huko katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Sebleni wakati akitoa Mafunzo ya usalama wa chakula dawa na vipodozi kwa Masheha wa Wilaya hiyo na kuwataka ushirikiano wa pamoja ili kuhakikisha wanathibitisha ...
9 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA NGAZI ZA MIKOA, WILAYA NA VIJIJI ZASHAURIWA KUOMBA MBEGU BADALA YA CHAKULA CHA MSAADA
10 years ago
VijimamboSHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA LAZINDULIWA RASMI NA MKUU WA WILAYA YA KISARAWE MH. SUBIRA MGALU KIJIJINI KISANGA
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA MBEYA AONGOZA CHAKULA CHA HISANI KUCHANGIA UJENZI WA NJIA ZA KUPITISHIA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA.
MKUU wa wilaya ya Mbeya Dk. Norman Sigallah King, juzi usiku aliwaongoza wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye chakula cha hisani ya kuchangia ujenzi wa njia za kupitishia wagonjwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.
Mwenyekiti wa Kamati ya Marafiki wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Oleais Senga, Akimkaribisha mgeni rasmi
Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo
Subilaga Mwambeta Mkurugenzi AJ Technology moja ya wachangiaji wakubwa wa marafiki wa hospitali ya mkoa Mbeya
Lyimo M.L Meneja Beaco Resort
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Kampuni 51 zapata uwakala wa ajira
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10